BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Mwamuzi wa kati aliyecheza mechi ya watani wa jadi (Yanga vs Simba), Martin Saanya, pamoja na msaidizi wake, wamefungiwa miaka miwili huku Nahodha wa Simba, Jonas Mkude akifutiwa adhabu ya kuzawadiwa kadi nyekundu.
Kama mdau wa michezo umeipokeaje taarifa hii?
Kama mdau wa michezo umeipokeaje taarifa hii?