- Thread starter
- #21
Pamoja na wewe?Watoto wa shehe Yahya kumbe mpo wengi!!
Pamoja na wewe?Watoto wa shehe Yahya kumbe mpo wengi!!
Jumamosi ya 29/10/2011 matokeo yatakuwa YANGA 1-SIMBA 6. Kipigo watakachopata hawa yeboyebo naona itakuwa kama MAN UTD VS MAN CITY. karibuni tuchangie, Nawasilisha.[/QU Mkuu haya matokeo njoo uyakariri baada ya mechi.
Watoto wa shehe Yahya kumbe mpo wengi!!
haya banaJumamosi ya 29/10/2011 matokeo yatakuwa YANGA 1-SIMBA 6. Kipigo watakachopata hawa yeboyebo naona itakuwa kama MAN UTD VS MAN CITY. karibuni tuchangie, Nawasilisha.[/QU Mkuu haya matokeo njoo uyakariri baada ya mechi.
yeboyebo tutawachapa tuSimba a.k.a mishikaki mnajua kuchez futaa la mdomon tayari kwa kutumia mdomo mmesha tupia magoli sita kwa moja haya bwana ila kesho msikimbie jukwaa na baada ya mechi kuisha msijejisahau mkalala na viatu
Simba ikifungwa nahama chadema!
SIMBA hatufungwiSimba ikifungwa nahama chadema!
Simba ikifungwa nahama chadema!
Mijitu mingine utrafikiri imevuta bangi. Nani kachezea kichapo hapo?YANGA watachezea kichapo kwa namna yeyote ile.