Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,667
- 29,958
Wadau mapema sana tumefika uwanjani...hali ni ya Joto nadhan hali hii ni mbaya sana kwa Yanga hasa kwa kuwa wamezoea Baridi huko Uturuky na pia hawa bhanyambala naaambiwa huko kwao Jijin Mbeya kuna baridi sana....kwa hiyo hali si nzur kwa team zote. nmekaa sehemu maridadi kabisa niweze kuangalia pambano hili lenye upinzan mkubwa sana.sijafahamu kwa nini lakin week hii nzima limekuwa gumzo. hapa naona washabik wa MCC wanaingia kwa makundi na jersey za team yao. na pia nawaona Yanga mmoja mmoja wakiingia.
ninayewaletea Live update ni mimi mwanajamii mwenzenu Chizi Maarifa aka Mti Mkavuhauchimbwi Dawa. tutazidi kupashana habari za mchezo huu.
UPDATES...
Bado...kuna hali ya Tensio sijui kwa kiswahili neno hilo..lakini washabiki wamefika wengi hasa wa MCC na filatu vyao....naambiwa zaidi ya washabiki 1000 wametoka MBY kuja kuishabikia team yao. Yanga walienda Bwagamoyo kupiga kambi ili kuikabili team hii ya wabishi wa kutoka mbeya. sasa Yanga wana advantages mbili maana walipiga kambi Uturuki na Pia sasa Bagamoyo hivyo wakichanganya mambo ya huko leo ni balaa kabisa.
ninayewaletea Live update ni mimi mwanajamii mwenzenu Chizi Maarifa aka Mti Mkavuhauchimbwi Dawa. tutazidi kupashana habari za mchezo huu.
UPDATES...
Bado...kuna hali ya Tensio sijui kwa kiswahili neno hilo..lakini washabiki wamefika wengi hasa wa MCC na filatu vyao....naambiwa zaidi ya washabiki 1000 wametoka MBY kuja kuishabikia team yao. Yanga walienda Bwagamoyo kupiga kambi ili kuikabili team hii ya wabishi wa kutoka mbeya. sasa Yanga wana advantages mbili maana walipiga kambi Uturuki na Pia sasa Bagamoyo hivyo wakichanganya mambo ya huko leo ni balaa kabisa.