Yanga Vs Africanlyon

Mpira umeisha Yanga 3 African Lyon 1

Kwa matokeo haya ni kwamba Simba wana ponti sawa na Yanga ila yanga anaongoza kwa goal difference ya 1(Simba kafunga magoli 36 na kafungwa magoli 15,goal difference ni 36-15=21,Yanga wamefunga magoli 29 na wamefungwa magoli 07,goal difference ni 29-07=22).Hivyo tofauti ya magoli ni 22-21=01

Bingwa ataamuliwa katika mechi za mwisho ambapo Simba itacheza na Majimaji na Yanga itacheza na Toto Africans

Mkuu
Ngoja nikusahihishe

Kabla ya mechi za jana na leo za Simba vs JKT na Yanga vs A.Lyon
Yanga wamefunga magoli 26 na kufungwa 6
Simba kafunga 35 kafungwa 15

Na kanuni zipo hivi
Kama timu zikifungana point basi kwanza kabisa itaangaliwa goal difference. Zikifanana basi itafuata ni sheria ya nani ana matokeo mazuri baina ya hizo timu mbili zilipocheza. Baada ya hapo then ndio wanaangalia nani ana magoli mengi ya kufunga
 
Hivyo basi Yanga anafikisha point 46, magoli 29 ya kufunga na 7 ya kufungwa, goal difference = 22
Simba nae ana point 46, magoli 36 ya kufunga, 16 ya kufungwa, goal difference = 20
 
Mkuu wangu CPU....Hayo maelezo niliyoyatoa hapo juu sio yangu,ni kwa mujibu wa Afisa habari wa TFF Boniface Wambura ambaye alikuwa akihojiwa na Jesse John na Chacha Maginga wa TBC Taifa wakati wa mapumziko ya mechi ya Yanga vs African Lyon na ndiye aliyekokotoa na kutoa goal difference ya moja(kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu ya VodaCom) na akasema endapo Yanga itashinda mechi ya leo kwa idadi ya magoli zaidi ya 2 itakuwa imeizidi Simba kwa uwiano huo wa magoli ya kufunga na yale ya kufungwa..............Ndiyo maana baada ya mechi hii Yanga inaongoza kwa goal difference ya 1
 
Mkuu wangu CPU....Hayo maelezo niliyoyatoa hapo juu sio yangu,ni kwa mujibu wa Afisa habari wa TFF Boniface Wambura ambaye alikuwa akihojiwa na Jesse John na Chacha Maginga wa TBC Taifa wakati wa mapumziko ya mechi ya Yanga vs African Lyon na ndiye aliyekokotoa na kutoa goal difference ya moja(kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu ya VodaCom) na akasema endapo Yanga itashinda mechi ya leo kwa idadi ya magoli zaidi ya 2 itakuwa imeizidi Simba kwa uwiano huo wa magoli ya kufunga na yale ya kufungwa..............Ndiyo maana baada ya mechi hii Yanga inaongoza kwa goal difference ya 1

Mmmmmh

Inawezekana ni kweli mkuu, maana hao TFF ndio wahusika wenyewe wa ligi, ila tukipata matokeo ya mechi zote za Simba na Yanga ktk ligi kuu nadhani ndio tutakuwa na jibu la kweli maana hata TFF nao wanaweza wakateleza kwenye mambo yao wenyewe
 
Mkuu wangu CPU....Hayo maelezo niliyoyatoa hapo juu sio yangu,ni kwa mujibu wa Afisa habari wa TFF Boniface Wambura ambaye alikuwa akihojiwa na Jesse John na Chacha Maginga wa TBC Taifa wakati wa mapumziko ya mechi ya Yanga vs African Lyon na ndiye aliyekokotoa na kutoa goal difference ya moja(kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu ya VodaCom) na akasema endapo Yanga itashinda mechi ya leo kwa idadi ya magoli zaidi ya 2 itakuwa imeizidi Simba kwa uwiano huo wa magoli ya kufunga na yale ya kufungwa..............Ndiyo maana baada ya mechi hii Yanga inaongoza kwa goal difference ya 1

Kiongozi wangu

Nimepata habari tofauti na alizosema Wambura wa TFF
Source mojawapo ni vipindi vya michezo leo jioni hii ambapo karibu vyote vinasema Yanga goal difference ni 22 wakati Simba ni 20
Source ya pili ni HAPA ambayo ni website ya TFF wenyewe
So inawezekana Wambura kateleza ktk maelezo yake

Na HAPA ndio matokeo ya mechi zote za Ligi Kuu za Vodacom mwaka huu kwa mujibu wa website ya TFF wenyewe
 
Hivyo basi Yanga anafikisha point 46, magoli 29 ya kufunga na 7 ya kufungwa, goal difference = 22
Simba nae ana point 46, magoli 36 ya kufunga, 16 ya kufungwa, goal difference = 20

Hii naiona iko sawa.
 
Back
Top Bottom