figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
kavumbagu kachezewa vibaya nje ya 18. anapiga nionzima na kupata kona. mia
twite amefunga goli dakika ya 20 kutoka nje ya 18. mia
RUVU 2 - YANGA 1. mia
Leo mechi ni nzuri tutakuwa uwanjani masaa machache toka sasa tukishuhudia pambano jepesi kwa Yanga,ikishinda leo basi ubingwa jangwani mana lazima mnyama Simba apakatwe pale ccm-kirumba na sokoine-mbeya raundi ya pili,tutakuwa tunapeana matokeo mechi ikianza,cjui kama star tv watakuwa hewani
Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE Hawa Startv ndio nini Utaifa gani sasa? anatowa mpira wa Tanzania Yanga na Ruvu sababu ya Manchester united? au sababu mnaona Yanga wanaanza kufungwa?
mpira aujaisha???
asante mkuu. mia
ulikuwa unasikiliza kwa mkulima nini..