ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Benchi la ufundi uongozi na scouts wetu wa Yanga hebu tujaribu fanya mawasiliano na yule mchezaji beki rasta wa timu hii ya Sudan el Mereikh, hakika atatufaa sana kuimarisha ukuta kule nyuma.
Ni matumaini yangu yule mtu kama akisimama na Lamine hakuna paka yeyote atakayekatisha, hebu tumwangalie tena leo vizuri hapo saa kumi kwenye dimba la mkapa wengi mtakubaliana nami kuwa yule mtu atatufaa sana wananchi.
Ni matumaini yangu yule mtu kama akisimama na Lamine hakuna paka yeyote atakayekatisha, hebu tumwangalie tena leo vizuri hapo saa kumi kwenye dimba la mkapa wengi mtakubaliana nami kuwa yule mtu atatufaa sana wananchi.