ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,393
- 5,241
Sisi mashabiki wa Yanga tulimvika Mayele ukubwa ambao hakustahiki
Tulimwimba mno lakini me nilimwona ni mchezaji wa kawaida sana
Kuna strikers walikuja Tanzania wakafanya makubwa lakini hawakuimbwa
Tujikumbushe Tambwe, Kagere, Ngoma nk ambao kwa vipaji vyao Mayele asingeona ndani.
Walikuja wakakiwasha muda ukaisha na tukawasahau.
Yaani Mayele amekuwa top scorer ana mabao 13 wakati akina Kagere na Tambe walitupia 20+ wako kimya huyo mkongo ameanza taarabu.
Ameenda Egypt huko hatukuzwi inatakiwa apambane hawezi anakumbuka uku akiwafunga Mbeya City anatetema kama generator bovu anashangaliwa, sasa huko kuna mashabiki serious wanampuuza.
Wanayanga tumpuuze huyo jamaa ni mchezaji wa kawaida na huko Egypt anatoka tutamsikia yupo Tabora United
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulimwimba mno lakini me nilimwona ni mchezaji wa kawaida sana
Kuna strikers walikuja Tanzania wakafanya makubwa lakini hawakuimbwa
Tujikumbushe Tambwe, Kagere, Ngoma nk ambao kwa vipaji vyao Mayele asingeona ndani.
Walikuja wakakiwasha muda ukaisha na tukawasahau.
Yaani Mayele amekuwa top scorer ana mabao 13 wakati akina Kagere na Tambe walitupia 20+ wako kimya huyo mkongo ameanza taarabu.
Ameenda Egypt huko hatukuzwi inatakiwa apambane hawezi anakumbuka uku akiwafunga Mbeya City anatetema kama generator bovu anashangaliwa, sasa huko kuna mashabiki serious wanampuuza.
Wanayanga tumpuuze huyo jamaa ni mchezaji wa kawaida na huko Egypt anatoka tutamsikia yupo Tabora United
Sent using Jamii Forums mobile app