hatariiiiiiii!!!!Hakuna shaka kabisa sasa Timu ya wananchi Dar es Salaam Young Africans inaenda kuwa timu ya vigogo na masuperstars wa Africa...a.k.a African galaticos.
Kila la kheri Engeneer Hersi na GSM.
Ogopa!!!!hatariiiiiiii!!!!
KbsaaaaMedeama katuletea kelele mji mzima
Kigogo mwenyewe hafidh konkon au
Nimewasikia mahali kuwa mchezaji wao atapata kiatu cha dhahabu. Wana uhakika WA kuingia robo fainali. Wana ugonjwa Mkubwa WA 'infiriority complex'. Mwakalobo wanayoicheka Simba ndio inawafanya kuwa kwenye Kumi Bora. Mechi ya Jana wanakaa vikundi vikundi wanadiscuss.Medeama katuletea kelele mji mzima
Simba mwakarobo ndio wanaifanya yanga kuwa kwenye 10 bora?Nimewasikia mahali kuwa mchezaji wao atapata kiatu cha dhahabu. Wana uhakika WA kuingia robo fainali. Wana ugonjwa Mkubwa WA 'infiriority complex'. Mwakalobo wanayoicheka Simba ndio inawafanya kuwa kwenye Kumi Bora. Mechi ya Jana wanakaa vikundi vikundi wanadiscuss.
Top ten hampo kwenye data za CAFSimba mwakarobo ndio wanaifanya yanga kuwa kwenye 10 bora?
Final confederation mliwapeleka nyie makolo?
Nyie Mbumbumbu mna shida haswa
Kiatu cha dhahabu kwa ajili ya nini?Nimewasikia mahali kuwa mchezaji wao atapata kiatu cha dhahabu. Wana uhakika WA kuingia robo fainali. Wana ugonjwa Mkubwa WA 'infiriority complex'. Mwakalobo wanayoicheka Simba ndio inawafanya kuwa kwenye Kumi Bora. Mechi ya Jana wanakaa vikundi vikundi wanadiscuss.
Kwenye mashindano yanayoendelea. Aliewafunga vibonde WA Jana ndie atakuwa mfungaji Bora.Kiatu cha dhahabu kwa ajili ya nini?
Ana birthday?
Nani kakuongopea?Kwenye mashindano yanayoendelea. Aliewafunga vibonde WA Jana ndie atakuwa mfungaji Bora.
Huyu jamaa wa ogopaaa..naona anatrend sana...anahusika na vinini kwani mjumbeOgopa!!!!
Ni msukuma tu aliyeona social media kama fursa.Huyu jamaa wa ogopaaa..naona anatrend sana...anahusika na vinini kwani mjumbe