Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,469
- 12,909
- Thread starter
- #41
MaarifaChizi Maarifa yupo humu anatamba anasema hata kama wamefungwa bado nafasi ya kwanza ni yao na ubingwa watachukua
MaarifaChizi Maarifa yupo humu anatamba anasema hata kama wamefungwa bado nafasi ya kwanza ni yao na ubingwa watachukua
Mtani vipi 🤣🤣🤣Makolo wanavyo furahia utafikiri wako kileleni.
Kwema mtani 🤣🤣Nyuma ni mwiko tu
Kwema Mtani?Mtani vipi 🤣🤣🤣
Mumeyatimba kwa lambalamba 😂🤣🤣Kwema Mtani?
Hiyo ni kawaida Mtani kwenye Mpira ilimradi hazikufika Tano 🤣 🤣Mumeyatimba kwa lambalamba 😂🤣🤣
hivi vichekesho vinapatikana wapi na unabonyeza ngapi?
Sawa mtani ushaanza gubu 🤣🤣🤣Hiyo ni kawaida Mtani kwenye Mpira ilimradi hazikufika Tano 🤣 🤣
Siyo Gubu Mtani Tano ni nyingi sana nyie wenyewe hadi sasa hivi mnaweweseka tu 🤣 🤣 🤣🤣Sawa mtani ushaanza gubu 🤣🤣🤣
chai ya baridi Lakini ya moto unakunywa kwa masikitiko, saa zingine unasahau hata kama inahitaji sukari 🐒Watani wangu hao 🤣🤣
AbeeeeehCoca
Dial 5112023