Yanga SC yapangwa dhidi ya Woilatta Dicha ya Ethiopia

Awa jamaa wamewatowa Zamaleik ya Egpty
Hakuna Hata y'a kufurahi kwa Kuwa Yanga kapangwa n'a hii timu, kikubwa ni kuuandaa kikamilifu Kabla ya kuwavaa wapinzani wetu. Kumbuka kila timu iliyofika hata hii si y'a kubeza Hata kidogo, Tusubiri kushangilia baada ya mechi y'a marudiano tukiwa tumefuzu makundi vinginevyo mambo yatakuwa yale yale y'a Wabotswana.
 
IMG-20180321-WA0025.jpeg

Aya vyura kazi kwenu mmepewa kibonde huyo yuko nafasi ya 8 ligi yao..

Mkitolewa na huku sijui mtaweka wapi sura zenu
 
March 10, 2018

Wolayta Dicoa (2) VS Zamalek SC (1) full Video – Ethiopia Hawassa Int. stadium

Wolayta Dicha F.C. is an Ethiopian football club based in Wolayta Soddo and established in 2009 by the Welayta Development Association

Source: FETRA PRODUCTION SEYA

Waethiopia mpira wao ni wa kapeti. Nasubiri kuona tena pasi 30 kabla ya kufunga bao.
 
Wamepangwa na Timu bora ila yanga ni bora zaidi so wanaenda group stage daima mbele nyuma mwiko
Hizi dharau nazipenda sana, kama township rollera vile walivyodharauliwa.
Waethiopia mpira wametuzidi na mpira wao ni wa kapeti.
Endeleeni kuwadharau.
 
Hizi dharau nazipenda sana, kama township rollera vile walivyodharauliwa.
Waethiopia mpira wametuzidi na mpira wao ni wa kapeti.
Endeleeni kuwadharau.
Historia inajirudia mwaka 1998 Cofee ya Ethiopia waliwatoa Al Ahly ya Misri wakajaka kutolewa na Yanga. Yanga wakaingia hatua ya makundi na je mwaka huu baada ya Walayta Dicha ya Ethiopia kuitoa Zamaleik ya Misri na kukutana na Yanga je Yanga wataweza itoa hiyo timu ya Ethiopia na kuingia katika makundi kama mwaka 1998??
 
Utasikia Timu yenyewe haifahamiki jamani Yanga anafahamika wapi mana yeye ubingwa wake Africa ni round ya kwanza akiingia round ya pili ndo mwisho wa safari yake. Labda kama mkisema wamekutana wasiofahamika wote. Sasa hapo mwenye maandalizi mazr ndo atapita
 
Hizi dharau nazipenda sana, kama township rollera vile walivyodharauliwa.
Waethiopia mpira wametuzidi na mpira wao ni wa kapeti.
Endeleeni kuwadharau.
Hembu soma vizuri Uelewa nimesema wamepangwa na Timu bora ila yanga ni bora zaidi sasa hapo zarau iko wapi
 
Utasikia Timu yenyewe haifahamiki jamani Yanga anafahamika wapi mana yeye ubingwa wake Africa ni round ya kwanza akiingia round ya pili ndo mwisho wa safari yake. Labda kama mkisema wamekutana wasiofahamika wote. Sasa hapo mwenye maandalizi mazr ndo atapita
Mkuu we ni shabiki tu es juzi, hujui Historia ya Yanga au utakuwa mtoto wa miaka ya 2000,hivyo siyo kosa lako.
 
Tuwekee historia ya Yanga Africa wewe wa 1990
Acha ushabiki maandazi, tafuta Historia, zipo tu za kutukuka au muulize Manara anajua. Ni kwa sababu tu wana jangwani hatupendagi sans kuongelea yaliyopita. Kwa sababu Hata za Simba unazoweka hapa hazitusaidii kwa sasa kuiendeleza club. Nakubaliana n'a wewe, atajayejiandaa vizuri, atapata matokeo n'a si vinginevyo. Tuache ushabiki maandazi unatumaliza.
 
hi
Historia inajirudia mwaka 1998 Cofee ya Ethiopia waliwatoa Al Ahly ya Misri wakajaka kutolewa na Yanga. Yanga wakaingia hatua ya makundi na je mwaka huu baada ya Walayta Dicha ya Ethiopia kuitoa Zamaleik ya Misri na kukutana na Yanga je Yanga wataweza itoa hiyo timu ya Ethiopia na kuingia katika makundi kama mwaka 1998??
Historia inaweza kujirudia, kikubwa ni maandalizi mazuri na kujiamini basi.
 
Back
Top Bottom