Zilizkuwa ni tetesi tu za kimitandani.
Ukitumia akili za kuzaliwa bila kushawishiwa na mtu yeyote huwezi kuamini kuwa Yanga SC wameshindwana na NABI basi watawezana na PITSO.
Mambo mengine ya mitandaoni ni kujiongeza tu kabla ya kuyafikisha katika hatua ya juu kabisa ya kuyaamini.