ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Leo ni Kufa Au Kupona. Mshindi lazima Apatikane kati Ya YANGA SC Vs KMKM ambaye Atakwenda Kucheza Nusu Fainali.
Saa 10:15 Joni mabingwa watetezi Yanga SC kupepetana na KMKM, timu zote zilipata ushindi mechi zao za ufunguzi.
Je, leo nani kuchezea kichapo?
Kila mmoja Anawakilisha lakini KMKM wanataka Kuwakilisha Hasa kwa Upande wa Visiwani
Atakae pigwa leo, Ametoka
=========
45' ⚽Makambo anaiandikia Yanga bao la kwanza mwishoni mwa kipindi cha kwanza, krosi maridhawa kutoka kwa Dickson Ambundo
Yanga inafanya mabadiliko ya wachezaji watatu baada ya kutoka mapumziko. Ambundo nafasi inachukuliwa na Farid, Nkane anakwenda bench na nafasi yake kuchukuliwa na Jesus Moloko huku Bryson anaingia kuwa mbadala wa Mustafa Salum
54' ⚽Ibrahim Abdallah anaweka uwanja sawa, Yanga SC 1-1 KMKM
82' ⚽Feisal Salum anaupa tena uongozi timu ya yanga kwa shuti kaali
90+2' ⚽KMKM wanasawazisha
90+4' Refa anapuliza kipenga kumaliza mpira
Saa 10:15 Joni mabingwa watetezi Yanga SC kupepetana na KMKM, timu zote zilipata ushindi mechi zao za ufunguzi.
Je, leo nani kuchezea kichapo?
Kila mmoja Anawakilisha lakini KMKM wanataka Kuwakilisha Hasa kwa Upande wa Visiwani
Atakae pigwa leo, Ametoka
=========
45' ⚽Makambo anaiandikia Yanga bao la kwanza mwishoni mwa kipindi cha kwanza, krosi maridhawa kutoka kwa Dickson Ambundo
Yanga inafanya mabadiliko ya wachezaji watatu baada ya kutoka mapumziko. Ambundo nafasi inachukuliwa na Farid, Nkane anakwenda bench na nafasi yake kuchukuliwa na Jesus Moloko huku Bryson anaingia kuwa mbadala wa Mustafa Salum
54' ⚽Ibrahim Abdallah anaweka uwanja sawa, Yanga SC 1-1 KMKM
82' ⚽Feisal Salum anaupa tena uongozi timu ya yanga kwa shuti kaali
90+2' ⚽KMKM wanasawazisha
90+4' Refa anapuliza kipenga kumaliza mpira