Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,570
- 188,777
Mzungu Kizunguzunguhalafu simba mnakumbushwa tuu sio kila mzungu ni kocha,wengine mashahidi wa yehova,.
Mzungu Kizunguzunguhalafu simba mnakumbushwa tuu sio kila mzungu ni kocha,wengine mashahidi wa yehova,.
Woiii....nakusalim dirty head😀Mzungu Kizunguzungu
Salam zimefika mama wa kufall in love na seeker. Mzungu anafanana na mr bonesWoiii....nakusalim dirty head😀
Mtoto Wa kiume sio poa kutumia maneno ya kike kama uwiii watoto Wa kiume tuna maneno yetu kama oi, wozah, worap,Uwiiii mi mlokole ujue, hizo huwa nakemea
😂😂😂Salam zimefika mama wa kufall in love na seeker. Mzungu anafanana na mr bones
Jamaa, katika kutafuta shahada yangu ya kiswahili sijawahi kutana na lugha ya kike, kwa maana hiyo huwa simpi mtu nafasi ya kunichagulia lugha na maneno ya kuzungumza mimi sio boya, rudi kidato cha pili ukasome matumizi ya lugha. Usikurupuke katika lugha hapa utasiziMtoto Wa kiume sio poa kutumia maneno ya kike kama uwiii watoto Wa kiume tuna maneno yetu kama oi, wozah, worap,
factJamaa, katika kutafuta shahada yangu ya kiswahili sijawahi kutana na lugha ya kike, kwa maana hiyo huwa simpi mtu nafasi ya kunichagulia lugha na maneno ya kuzungumza mimi sio boya, rudi kidato cha pili ukasome matumizi ya lugha. Usikurupuke katika lugha hapa utasizi
Mwanzisha mada amezungumzia kufanya vizuri kwenye Ligi, siyo nani atamfunga mwenzake.Yanga hawana historia hiyo. Simba ndio inakuwanga na historia ya kuifunga yanga hata kama wana hali mbaya
Kuwa Na kikosi kikubwa kama simba mechi za nje isiwe kizingzio sema mpira unadunda . msitegemee mechi za home kufanya vzurSimba kacheza mechi 3 mikoani yanga yupo taifa
Mkuu siyo kusiz wala kusanda bas yatumie na haya ili tukuzoee tu kuwa mwenzetu siyo ridhiki kama Jomonii, mixeew, nakojoa, waoooooJamaa, katika kutafuta shahada yangu ya kiswahili sijawahi kutana na lugha ya kike, kwa maana hiyo huwa simpi mtu nafasi ya kunichagulia lugha na maneno ya kuzungumza mimi sio boya, rudi kidato cha pili ukasome matumizi ya lugha. Usikurupuke katika lugha hapa utasizi
Wewe nawe acha kujiita baby girl wakati wewe Wa kiume utatongozwa bure tu mzee babafact
Wewe umeelewa kinachozungumzwa hapa?Yanga hawana historia hiyo. Simba ndio inakuwanga na historia ya kuifunga yanga hata kama wana hali mbaya
Wp nimejiita baby girl mbna unashoboka ivooo yaani??Wewe nawe acha kujiita baby girl wakati wewe Wa kiume utatongozwa bure tu mzee baba
Aiseeeni Tanzania pekee na ni team ya simba pekee yenye viungo zaidi ya kumi!!! na bado ukiwafunga tuu wanataka wakusajili.. haya Yule Shollo mwamba yuko wp??
AiseeeeMtoto Wa kiume sio poa kutumia maneno ya kike kama uwiii watoto Wa kiume tuna maneno yetu kama oi, wozah, worap,