nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Ajari kazini hiyoWewe ulifikiri nisawa na kwenda chooni kukojoa?? Kuwa tajiri sio swala dogo. KUFA,KUFUNGWA,KUUA,
HUYOO Ni mpambanaji aliepata hasara.
Ajari kazini hiyoWewe ulifikiri nisawa na kwenda chooni kukojoa?? Kuwa tajiri sio swala dogo. KUFA,KUFUNGWA,KUUA,
HUYOO Ni mpambanaji aliepata hasara.
Vijana wengi wa Tanga wanaipenda sana hii biashara,wengi wamefungwa Italy
Inalimwa Mkuu.Hivi inalimwa au ni industrial product
Inalimwa Mkuu.
Ukienda Pakistani ,Mexico na Colombia utakuta sana mashamba ya NGADA.Wapi mzee, mbona bongo haipo
Uhuru ni kitu muhimu sanaDah miaka 30 raha sana, yaani free sleeping, free eating, free water, free power yaani.
Yeah kamwanga kapo Ila ujamwagika kwa kukata kiu vp na siang'aa naona katolewa kimya kimya au n wenge langu tuu mkuuKuna kijana fulani alikuwa akipewa madawa na huyo bwana auze..
Huyo jamaa ndy aliyekuwa anatumika kutengeneza madawa feki ili yabadilishwe na vithibiti halisi vilivyopo store vya watuhumiwa..
Pia huyo kijana ndy aliyekuwa anatumika kuwataja watu wengi wliokimbia south Africa..
Hata haya madawa yanayokamatwa na kuchomwa.
--Hivi kuna mtu amewahi kujiuliza yale madawa yanayochomwa kila kukicha kuna mwenye uhakika yale ni madawa kweli?au unga wa mahindi?
Nadhani hyo itatosha kukupa Mwanga fulani..
Hakika Mkuu,, sometimes najiuliza hizi kesi za madawa na ushahidi haujakamilika ,,Alafu najiulizaga why wakikamata madawa ya kulevya kuyapima mpaka wayapeleke kwa mkemia mkuu,wakati wenzetu ulaya palepale kuna kemikali zipo kwenye vichupa vidogo vikichanganywa tu vikibadilika vikiwa rangi ya blue ujue haya madawa sisi huku mlolongo mrefu.
Ndipo hapo wajanja kupitia mlolongo huu wanapiga hela.
Yeah Rogers Sianga sijui kastaafu, maana tulianza kuona Kaji anakaimu nafasi ya ukamishna mkuu baadaye ndio mkuu akamteua rasmi kuchukua nafasi ya Sianga.Yeah kamwanga kapo Ila ujamwagika kwa kukata kiu vp na siang'aa naona katolewa kimya kimya au n wenge langu tuu mkuu
Upo magomeni makanyaHapana upo TANDALE kwa TUMBO au KWA BI NYAU maeneo ya hapo.
Ni mfanyabiashara maarufu Jijini Tanga aendaye kwa jina la Yanga Omary Tanga Almaarufu Rais wa Yanga
Ametiwa hatiani kwa kukutwa na Heroin gramu 1,052
Mkewe na Msichana wa kazi wameachiwa na Mahakama kwa kukosekana Ushahidi
Jaji Imakulata Banzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Wahujumu Uchumi ameagiza madawa hayo yachomwe moto mara moja
Aagiza pia mali za mshitakiwa huyo aliyetiwa hatiani ikiwemo gari la kifahari aina ya V8 pamoja na Silaha moja virejeshwe kwa familia yake.
View attachment 1630935
enzi zile mwanamziki mwinjuma muumini yupo kwenye prime time, alikuwa analitaja sana jina la huyu jamaa kwenye nyimbo zake.
Yule Mzee wa Kichaga, na anajulikana sana kwa Michezo yake michafu sema ni Jeuri sana,sijui Nani anampa jeuri pale Tanga!!?hotel gan zile za dolfin pale relin au?
Ni mjeuri kweli. Kuna siku traffic alimsimamisha, alimfokea Askari mpaka traffic akawa Kama piriton na kuambiwa Hana adabu.
Kaka usimchunguze sana Bata.Anaitwa nan Huyo mchaga?
Wengi wapigaji wamekimbilia kwa mu7Hivi hao matapeli wa madini bado wapo maana wakongo wengi ndio shughuli zao hapa mjini.
Hivi unajuwa kwa nn alibadilishwa?