Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,205
- 4,695
Ni mfanyabiashara maarufu Jijini Tanga aendaye kwa jina la Yanga Omary Tanga Almaarufu Rais wa Yanga
Ametiwa hatiani kwa kukutwa na Heroin gramu 1,052
Mkewe na Msichana wa kazi wameachiwa na Mahakama kwa kukosekana Ushahidi
Jaji Imakulata Banzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Wahujumu Uchumi ameagiza madawa hayo yachomwe moto mara moja
Aagiza pia mali za mshitakiwa huyo aliyetiwa hatiani ikiwemo gari la kifahari aina ya V8 pamoja na Silaha moja virejeshwe kwa familia yake.
Ametiwa hatiani kwa kukutwa na Heroin gramu 1,052
Mkewe na Msichana wa kazi wameachiwa na Mahakama kwa kukosekana Ushahidi
Jaji Imakulata Banzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Wahujumu Uchumi ameagiza madawa hayo yachomwe moto mara moja
Aagiza pia mali za mshitakiwa huyo aliyetiwa hatiani ikiwemo gari la kifahari aina ya V8 pamoja na Silaha moja virejeshwe kwa familia yake.