Kuna habari kuwa wachezaji Simba hawalipwi mishahara muda muafaka.
Habari toka Yanga zinasema uongozi wa timu hiyo umesikitishwa na kitendo cha wanachama wake kumpiga na kumng'oa meno, mwanachama mwenzao,Salvatory Emanuel Soka kwa madai kuwa si mwenzao pale alipovaa nguo ya zambarau ilioonekana kama nyekundu weekend iliopita wakati wa mechi ya Yanga na Azam
Habari toka Yanga zinasema uongozi wa timu hiyo umesikitishwa na kitendo cha wanachama wake kumpiga na kumng'oa meno, mwanachama mwenzao,Salvatory Emanuel Soka kwa madai kuwa si mwenzao pale alipovaa nguo ya zambarau ilioonekana kama nyekundu weekend iliopita wakati wa mechi ya Yanga na Azam