only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Katika hali ya kusikitisha na kuhuzunisha imegundulika kuwa Simba na Yanga walipanga matokeo ya game lao la Jumapili....Na hii iliwekwa ili kuweza kuwasaidia viongozi wa Yanga ambao walikalia kuti kavu iwapo Yanga ingefungwa...katika kikao kilichofanyika kabla ya game hiyo viongozi wa Simba na Yanga walipanga kusaidiana ili kulinda maslahi yao kwenye vilabu hivyo vikongwe kwenye soka la Bongo..............kama hii ni kweli je TUTAFIKA?