Yanga mnamfukuza lini kocha?

Yanga mnamfukuza lini kocha?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,030
Reaction score
59,682
Wazee wa kufukuza fukuza mna bahati sana juzi mlipata penalt la sivyo mngelala na kale kamoja.
Na msimu huu mtashuka na daraja kabisa manake mtapigwa na kila mtu ..halafu nyie sio wa kuwapiga nyingi. Moja moja kanawatosha tano nyingi sana.
Asanteni sana Kagera mumenipa sana raha leo .
 
Hongera kagera ila msiwe mnakomaa kwa hizi timu kubwa tu,hata ndogo komaeni tusikie hata siku moja kombe limeenda kaitaba nawapenda kwa sababu mnawafunga yebo yebo
 
Kabla ya kumfukuza kwanza inabidi wachapane bakora za kufa mtu pale Jangwani.
 
Kocha ameisifu Simba kwa pasi fupi na za uhakika. Amependezwa nayo kuliko timu yake. Hii kauli ndiyo imeanza kumponza, alhamisi Yanga itafungwa tena na Toto na sababu itapatikana ya kumfukuza.
 
Eeeeh wajifunze kukaa na makocha mbona real inakaa nao hata wanapofungwa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Wazee wa kufukuza
fukuza mna bahati sana juzi mlipata penalt la sivyo mngelala na kale
kamoja.
Na msimu huu mtashuka na daraja kabisa manake mtapigwa na kila mtu
..halafu nyie sio wa kuwapiga nyingi. Moja moja kanawatosha tano nyingi
sana.
Asanteni sana Kagera mumenipa sana raha leo .

Acha uchozi kijana! Hahaaaa! this time atakuwa Manji wakutimuliwa!
 
Acha uchozi kijana! Hahaaaa! this time atakuwa Manji wakutimuliwa!
Wakimfukuza mishahara atalipa nani? Tena ili awatulize ametangza hivi punde eti ana mpango mkakati wa kuijengea Yanga uwanja. Andekuwa na hela angeanza na kulipa madeni ya Njoroge, Papic na kuondoa mizungu ya nne kila siku mwishowe wachezaji watafi.............wenyewe kwa wenyewe.
 
wazee wa kufukuza fukuza mna bahati sana juzi mlipata penalt la sivyo mngelala na kale kamoja.
Na msimu huu mtashuka na daraja kabisa manake mtapigwa na kila mtu ..halafu nyie sio wa kuwapiga nyingi. Moja moja kanawatosha tano nyingi sana.
Asanteni sana kagera mumenipa sana raha leo .
wanaendeleza kamchezo kao.......walichofundishwa na saintfiet
DSC02883-431x600.jpg
 
Back
Top Bottom