Msimu uliopita tumekuwa na timu iliyofanya vzr sana.
Tumepoteza mechi moja tu
Tumeruhusu magoli machache zaid ya yoyote.
Tumefunga magoli mengi zaid ya yoyote.
Tumekuwa bora sana bahati mbaya mpinzani wetu alikuwa zaid ya bora( yanga ya msimu uliopita ilivuka ubora wa kawaida unaotakiwa ndio maana hatukuambulia chochote.
Forwad yetu ilikuwa vzr sana
Beki zetu pia zimekuwa vzr sana.
Shida yetu Simba imekuwa kiungo mzuiaji tu na limekuwa tatizo sugu kwa muda sasa (angalau Kipind cha Lwanga alijitahid ndo maana ukiangalia ule msimu tulifungwa magoli machache sana hata mashindano ya kimataifa)
Tunaposeama kiungo mzuiaji hatumaanishi Kanoute au Mzamiru NO wale ni no 8 sio 6 me nataka tuwe na 6 halisi 6 ambaye hana tamaa ya kushambulia akiwa uwanjan jukum lake ni kuhakikisha mabeki hawafikiwi kirahisi (hii itatupunguzia makosa ya mabeki sana)
Kukosekana kwa kiungo mkabaji kumepelekea mabeki wawe wanafikiwa kirahisi
Angalia mpk nje team kubwa imebid zitafute utaratibu wa kuweka viungo wakabaji wawili kwa sababu wanajua umuhim wake.
Man city inakuwa na Rodr na bado Stone anasogezwa kucheza sita ili kuwepo na 6 wawili.
Arsenal pia wanampabga yule Mghana na Xhaka
Hii inaonesha umuhim wa kuwa na kiungo mkabaji halisi
Kanoute na Mzamiru wote wawili ni no 8 ingawa wamekuwa wakojitahid but ukweli tunahitaji no 6 halisi
La pili usajili
Jaman kwa ninavyoona kuna uwezekano wa kuacha wachezaji zaid ya 10 na nafasi zao ni lazima zijzwe maana team lazima iwe na wachezaji 25 hivyo tunafurahia wale kuachwa but tusisahau itabid nafasi zao zijazwe
Sasa najaribu kuwaza lets say tulikuwa na budget ya usajir ya bil 2.5 iv
Tusingekuwa na hii thank you thank you manake tungeweza hiyo 2.5 kuiwekeza kwa wachezaji wachache na tukapata bora.
Em assume ukaweka kupata wachezaji wa nje wanne na kila mmoja ukatoa mil 500 am sure utapata watu bora sana.
But sababu tu a mapengo ya wachezaji 10 ya kuziba itabid 2b uigawe uanze kwanza kuziba mapengo yaliyobaki ili wachezaji watimie 25 atlast utaishia wachezaji wa nje kuchukua wa 100k-250k tu ambao mnajua ubora wao unakujaga kuwa wasawadogo inaboa sanaaa
Mwisho Try again anamuuza Moo na anatuuza Simba.
Unapata mchezaji bora sana ambaye hata huulizi ubora wake unaombwa 500m unakataa unasema ni nyingi then unaenda unanunua Sawadogo kwa 250 na kumpa mkataba wa miaka mitatau sababu unapenda mteremko then baada ya miez sita unagundua umeingia cha kike inabid uvunje mkataba na utapappswa kumlipa mshahara wake wa muda wote uliobaki ili uvunje mkataba.
Sasa si yale yale bora ungetoa 500 ukapata bora?
Mwisho nasikia tunachukua kipa hatujawah hata kumuona jaman jaman dunian kuna ujinga sana
Iv kweli mwaka jana tulichofangwa na kocha kuletewa Watara na Mzungu bado tunarudia kosa kumruhusu kocha akalete Mbrazil mwenzake?
Halaf sasa bora Manura angekuwepo tuseme huyo anakuja kupambania nafasi na Manura so hata akiwa mbovu haina shida tutavumilia miez sita tumuache.
Shida Manura hayupo miez minne so anayekuja atapaswa awe kipa no 1 moja kwa moja! Sasa Mungu wangu ikatokea kocha ametuuza(maana mchezaji aliyecheza team ya taifa ya vijana alipaswa sahiz awe mbali ila ndo anazid kushuka daraja la chini anakuwaje bora)
Manake huyo kipa akiwa mbovu itabid Salim ndo adake mpk Manura akirud
Nb: Kama kuna kiongozi wa Simba atasoma hapa tafadhali fanyen yote ila sajirin no 6 na pia msichukue huyo kipa tafadhalini sanaaa jaman! Sehem ya kipa ni senstive sana tusifanye kujarb pls pls tafuten kipa ambaye ameshaonwa maana direct anakuja kuwa kipa no 1
Ni mawazo yangu tu
Tumepoteza mechi moja tu
Tumeruhusu magoli machache zaid ya yoyote.
Tumefunga magoli mengi zaid ya yoyote.
Tumekuwa bora sana bahati mbaya mpinzani wetu alikuwa zaid ya bora( yanga ya msimu uliopita ilivuka ubora wa kawaida unaotakiwa ndio maana hatukuambulia chochote.
Forwad yetu ilikuwa vzr sana
Beki zetu pia zimekuwa vzr sana.
Shida yetu Simba imekuwa kiungo mzuiaji tu na limekuwa tatizo sugu kwa muda sasa (angalau Kipind cha Lwanga alijitahid ndo maana ukiangalia ule msimu tulifungwa magoli machache sana hata mashindano ya kimataifa)
Tunaposeama kiungo mzuiaji hatumaanishi Kanoute au Mzamiru NO wale ni no 8 sio 6 me nataka tuwe na 6 halisi 6 ambaye hana tamaa ya kushambulia akiwa uwanjan jukum lake ni kuhakikisha mabeki hawafikiwi kirahisi (hii itatupunguzia makosa ya mabeki sana)
Kukosekana kwa kiungo mkabaji kumepelekea mabeki wawe wanafikiwa kirahisi
Angalia mpk nje team kubwa imebid zitafute utaratibu wa kuweka viungo wakabaji wawili kwa sababu wanajua umuhim wake.
Man city inakuwa na Rodr na bado Stone anasogezwa kucheza sita ili kuwepo na 6 wawili.
Arsenal pia wanampabga yule Mghana na Xhaka
Hii inaonesha umuhim wa kuwa na kiungo mkabaji halisi
Kanoute na Mzamiru wote wawili ni no 8 ingawa wamekuwa wakojitahid but ukweli tunahitaji no 6 halisi
La pili usajili
Jaman kwa ninavyoona kuna uwezekano wa kuacha wachezaji zaid ya 10 na nafasi zao ni lazima zijzwe maana team lazima iwe na wachezaji 25 hivyo tunafurahia wale kuachwa but tusisahau itabid nafasi zao zijazwe
Sasa najaribu kuwaza lets say tulikuwa na budget ya usajir ya bil 2.5 iv
Tusingekuwa na hii thank you thank you manake tungeweza hiyo 2.5 kuiwekeza kwa wachezaji wachache na tukapata bora.
Em assume ukaweka kupata wachezaji wa nje wanne na kila mmoja ukatoa mil 500 am sure utapata watu bora sana.
But sababu tu a mapengo ya wachezaji 10 ya kuziba itabid 2b uigawe uanze kwanza kuziba mapengo yaliyobaki ili wachezaji watimie 25 atlast utaishia wachezaji wa nje kuchukua wa 100k-250k tu ambao mnajua ubora wao unakujaga kuwa wasawadogo inaboa sanaaa
Mwisho Try again anamuuza Moo na anatuuza Simba.
Unapata mchezaji bora sana ambaye hata huulizi ubora wake unaombwa 500m unakataa unasema ni nyingi then unaenda unanunua Sawadogo kwa 250 na kumpa mkataba wa miaka mitatau sababu unapenda mteremko then baada ya miez sita unagundua umeingia cha kike inabid uvunje mkataba na utapappswa kumlipa mshahara wake wa muda wote uliobaki ili uvunje mkataba.
Sasa si yale yale bora ungetoa 500 ukapata bora?
Mwisho nasikia tunachukua kipa hatujawah hata kumuona jaman jaman dunian kuna ujinga sana
Iv kweli mwaka jana tulichofangwa na kocha kuletewa Watara na Mzungu bado tunarudia kosa kumruhusu kocha akalete Mbrazil mwenzake?
Halaf sasa bora Manura angekuwepo tuseme huyo anakuja kupambania nafasi na Manura so hata akiwa mbovu haina shida tutavumilia miez sita tumuache.
Shida Manura hayupo miez minne so anayekuja atapaswa awe kipa no 1 moja kwa moja! Sasa Mungu wangu ikatokea kocha ametuuza(maana mchezaji aliyecheza team ya taifa ya vijana alipaswa sahiz awe mbali ila ndo anazid kushuka daraja la chini anakuwaje bora)
Manake huyo kipa akiwa mbovu itabid Salim ndo adake mpk Manura akirud
Nb: Kama kuna kiongozi wa Simba atasoma hapa tafadhali fanyen yote ila sajirin no 6 na pia msichukue huyo kipa tafadhalini sanaaa jaman! Sehem ya kipa ni senstive sana tusifanye kujarb pls pls tafuten kipa ambaye ameshaonwa maana direct anakuja kuwa kipa no 1
Ni mawazo yangu tu