Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,520
- 34,823
Dah!...pole sana kwake..Eeh bana..namuona akazugazuga pale sema nini,jamaa kaumia,kajikaza tu afanyeje ila usiku huu hatalala..🤔
Dah!...pole sana kwake..Eeh bana..namuona akazugazuga pale sema nini,jamaa kaumia,kajikaza tu afanyeje ila usiku huu hatalala..🤔
X ray ama CT scan bossInabidi ukitoka hapo akapimwe alivyoanguka wamshauli akachek X-ray
Hamna jeuri ya kujaza uwanjaMnyero fc kwenda zako huko na wivu wako wa kike
Wivu mbaya, ishu ya kujaza uwanja m'meshindwa m'meamua sasa kuhamia kwa kondeboy!!View attachment 1553434
Mambo ya utopolo hayo...
Kiingilio ilikuwa bei gani mkilinganisha na Simba? siku ya Simba mambo ya tiketi yalizingua serikali ilibadili agent muda ukiwa umeenda.Wivu mbaya, ishu ya kujaza uwanja m'meshindwa m'meamua sasa kuhamia kwa kondeboy!!
TULIENI IWAINGIE VIZURI..
Mfamaji... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 mikia hamuishi vituko..Na wale walioingia mikia-day walipaa wakaingia..??Kiingilio ilikuwa bei gani mkilinganisha na Simba? siku ya Simba mambo ya tiketi yalizingua serikali ilibadili agent muda ukiwa umeenda.
Vyura bhana, kiingilio chenyewe bure kile, weka viingilio vya Simba day uone kama vyura mngefika hata nusu ya uwanja.Mfamaji... mikia hamuishi vituko..Na wale walioingia mikia-day walipaa wakaingia..??
Mikia hata wawekewe kiingilio buku 2 hawajazi tena ule uwanja, Mara oooh bila mikia Yanga hawajazi uwanja..Jana ikawaje??Vyura bhana, kiingilio chenyewe bure kile, weka viingilio vya Simba day uone kama vyura mngefika hata nusu ya uwanja.
Mikia hata wawekewe kiingilio buku 2 hawajazi tena ule uwanja, Mara oooh bila mikia Yanga hawajazi uwanja..Jana ikawaje??Vyura bhana, kiingilio chenyewe bure kile, weka viingilio vya Simba day uone kama vyura mngefika hata nusu ya uwanja.
Wivu mbaya, ishu ya kujaza uwanja m'meshindwa m'meamua sasa kuhamia kwa kondeboy!!
TULIENI IWAINGIE VIZURI..
Kiingilio ilikuwa bei gani mkilinganisha na Simba? siku ya Simba mambo ya tiketi yalizingua serikali ilibadili agent muda ukiwa umeenda.
Vyura bhana, kiingilio chenyewe bure kile, weka viingilio vya Simba day uone kama vyura mngefika hata nusu ya uwanja.
Nenda kajaribu na wewe..
Consider hv vitu.Jamani, jamani, jamani hii Yanga Day Imetisha!
Yanga kweli ni kiboko yao Kwanza imejaza uwanja watu wamefurika mpaka nafasi hakuña wengine wamebaki nje ukilinganisha na Simba day uwanja ulipwaya Sana.
Show ya msanii (harmonise) Latisha namna alivyoingia uwanjani. Kabumbu limepigwa vizuri Sana. YÃ ani Yanga Wamesajili watu wa ukweli wanapiga kazi show game wanaijua Simba walirukaruka Kama maharagwe kwenye chungu.
Jamani Acheni Yanga iitwe timu ya wananchi