Yanga kuwa kam Pyramid ya msimu uliopita

Yanga kuwa kam Pyramid ya msimu uliopita

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
400
Reaction score
811
YANGA MSIMU HUU WA CACL huenda akaanzia hatua ya awali Msimu huu. MSIMU uliopita Orlando Pirates na Pyramid walianzia hatua ya awali lakini Orlando akafika nusu fainali na Pyramid akachukua ubingwa

SIMBA huenda akaanzia round ya pili MSIMU huu
MSIMU ULIOPITA PETRO de Luanda TP MAZEMBE na Esperance de tunis hawakuanzia round ya kwanza walianzia round ya pili
Hata hivyo
PETRO DE LUANDA hata group stage hakuingia alitolewa second round na Maniema
TP MAZEMBE akaishia group stage alikuwa kundi la Yanga
Esperance de tunis akaishia robo

Kwa kifupi Bingwa hakutokana na hizo timu Tano zinazojiita jayanti
 
Una haraka gani mpaka utuletee mambo ya "huenda?" Subiri muda ukifika utajua halafu habari za mpira zistopisheni kwanza ligi yenyewe imeenda mapumziko nyie kwa nini hampumziki?
 
Jamaa wanapita kimya kimya huku wanasonya
 
Una haraka gani mpaka utuletee mambo ya "huenda?" Subiri muda ukifika utajua halafu habari za mpira zistopisheni kwanza ligi yenyewe imeenda mapumziko nyie kwa nini hampumziki?
haujasema bado, yaani hadi USEME we Aviola!
 
Huyu mleta mada ninauhakika sio Jakaya Kikwete na pia sio Mzee Manara
 
Back
Top Bottom