Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Jina la mchezaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda halijaorodheshwa katika majina watakaoichezea klabu ya Yanga kwenye mzunguko wa ligi kuu ya Tanzania bara mzunguko wa pili.hii ni kutokana na sakata lake na Etoile du sahel kutokumalizika hivyo kwa mzunguko huu Yanga hawataweza kumtumia Okwi mpaka utata utakapoisha.
Jana Fredrick Mwakalebela kwenye akaunti yake ya facebook aliandika kuwa ameota kuwa sakata la Okwi limeibuka upya,leo hii habari hiyo imekuwa kweli.
Polen sana wana Yanga naona taratibu mnaanza kufuata nyayo za ubabaishaji za ndugu zenu Simba.
Source: shaffihdauda.com
Jana Fredrick Mwakalebela kwenye akaunti yake ya facebook aliandika kuwa ameota kuwa sakata la Okwi limeibuka upya,leo hii habari hiyo imekuwa kweli.
Polen sana wana Yanga naona taratibu mnaanza kufuata nyayo za ubabaishaji za ndugu zenu Simba.
Source: shaffihdauda.com