yanga inastahili pongezi

yanga inastahili pongezi

Kwa aliyekuwepo uwanjani hawezi kabisa kuikebehi Yanga, kama si kukosa umakini kwa Kavumbagu, Msuva (hawa walikosa nafasi mbili za wazi second half), Al Ahly leo alikuwa afungwe bao 3 - 0 au zaidi
 
Hao wanao ikandia Yanga ni washabiki tu, ila moyini wanajua kuwa leo yanga wamevunja MWIKO wa kufungwa na waarabu..ROHO INAWAUMA HAOOOOOOOOOOO.
 
nasikitika kwa yatakayo wakuta young african pale egypt katika match ya marudiano
 
hatimaye yanga yafuta uteja na klab toka misri baada ya kuitandika goli moja.pongezi kwako kanavaro.je watatoka ugenini?

wapigwe tu...nasema wapigwe tu wakienda misri...watapigwa wiki au mvua ya magoli
 
Mechi bado, ndo yale unatembea hatua moja unarudi hatua kumi kujipongeza, wapongeze wakitoka Cairo
Mkuu sio mbaya pongezi zikianzia leo, wakitoka Misri hilo ni suala lingine.........
 
Mechi bado, ndo yale unatembea hatua moja unarudi hatua kumi kujipongeza, wapongeze wakitoka Cairo

Mechi bado!saa hizi ni dakika ya ngapi mkuu?na kama hatua zipo 100,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000,si mbaya kurudi hatua kumi na kujipongeza.Nyambaaafu
 
Back
Top Bottom