Sawa Simba tumeshinda lakini ukweli tumecheza na team dhaifu

Sawa Simba tumeshinda lakini ukweli tumecheza na team dhaifu

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
18,387
Reaction score
26,298
Habari wanajf

Nitoe pongezi zangu kwa ushindi mnono tulioupata ugenini dhidi ya Nsingizini lakini ukweli ni kwamba team tuliocheza nayo haijatupa ushindani wa kweli kwahiyo haipaswi tukajenga matumaini makubwa kuwa team yetu itafika final au nusu final ukiangalia team iliyocheza na Yanga imeonesha ushindani mkubwa mpaka sisi wapinzani wao wajadi tumefurahi namna walivyokuwa wanapelekewa moto.

Inatupasa tumpe muda kocha na tuondoe matarajio makubwa alafu tuangalie team itakuaje
 
Bora yenu Simba kuliko Sisi Yanga , sisi tulimsajili mwanaume kwenye timu ya wanawake tukadhani hawatatushtukia ila wametushtukia wanataka kumvua nguo wajue jinsia yake viongozi wetu wamekataa.
 
Habari wanajf

Nitoe pongezi zangu kwa ushindi mnono tulioupata ugenini dhidi ya Nsingizini lakini ukweli ni kwamba team tuliocheza nayo haijatupa ushindani wa kweli kwahiyo haipaswi tukajenga matumaini makubwa kuwa team yetu itafika final au nusu final ukiangalia team iliyocheza na Yanga imeonesha ushindani mkubwa mpaka sisi wapinzani wao wajadi tumefurahi namna walivyokuwa wanapelekewa moto.

Inatupasa tumpe muda kocha na tuondoe matarajio makubwa alafu tuangalie team itakuaje
Umeandika kama yule jamaa anayejiita Mchome Mapovu😎

Cc: Mimi Wewe Yule
 
Kwa hyo ulitaka Simba apangiwe na nani?
Au angefungwa ndo ungejua hyo timu ni ngumu?.
Point yangu tusiwe na matarajio makubwa kwa sababu tumeifunga hii team tuendelee kumpa muda mwalimu atengeneze team tunayotaka
 
Ukicheza na timu dhaifu unatakiwa ushinde goli 3 na kuendelea. Kolo kacheza mpira mzuri hadi mimi Uto nimeingiwa wivu.
Team tunayocheza nae ameifanya mechi iwe rahisi ndio maana umeona mpira mzuri ndio maana nimewaambia mashabiki wenzangu wasiwe na matarajio makubwa tusimalize maneno yote
 
Habari wanajf

Nitoe pongezi zangu kwa ushindi mnono tulioupata ugenini dhidi ya Nsingizini lakini ukweli ni kwamba team tuliocheza nayo haijatupa ushindani wa kweli kwahiyo haipaswi tukajenga matumaini makubwa kuwa team yetu itafika final au nusu final ukiangalia team iliyocheza na Yanga imeonesha ushindani mkubwa mpaka sisi wapinzani wao wajadi tumefurahi namna walivyokuwa wanapelekewa moto.

Inatupasa tumpe muda kocha na tuondoe matarajio makubwa alafu tuangalie team itakuaje
Uliona kocha wa simba ameshangilia hata goal moja punguza mihemko jiandaeni na derby maana hyo ndio kazi yenu
 
Tushazoea utopolo akidraw au akifungwa basi watasema wamecheza na timu bora,hata siku moja hawajawahi kusema sisi ni wabovu
 
Uliona kocha wa simba ameshangilia hata goal moja punguza mihemko jiandaeni na derby maana hyo ndio kazi yenu
Hayo ni maoni yangu binafsi baada ya kuona mashabiki wenzangu wameanza kukaa upepo ndio maana ninawaambia wawe wapone Kuna team zinapaswa tukicheza nazo zitatupa picha halisi ya msimu huu ila sio ile ya jana
 
Back
Top Bottom