Yanga ikifungwa najisikia raaaaha saaana!

Yanga ikifungwa najisikia raaaaha saaana!

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Yaani hapa bando linakaribia kukata wala sishtuki, napanga kuongeza lingine fuleshi tuu.

Mechi ijayo mnacheza na nani? Mmesusaa hamtaki kunijibu? Hata msiponijibu najua mnaenda kudunguliwa tu hahah!

Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Ushauri wangu, rudini tu katika sindano zenu. Mkidakwa itakuwa ajali kazini, uzuri tuna bosi mkuu, Rais wa vilabu vyoote vya chibuku atatulinda!
 
IMG-20241126-WA0077.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom