ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Ile champion league sio mashindano ya akina mamaLeo Aziz Ki kapiga shuti moja la ujazo, hata Mobeto angelidaka lile shuti
Ile champion league sio mashindano ya akina mamaLeo Aziz Ki kapiga shuti moja la ujazo, hata Mobeto angelidaka lile shuti
Tano za "Arajinga"?Leta timu lako nilipige 5
Hata kulinda heshima ya taifa kipindi cha uchaguzi wameshindwa halafu wanajinasibu kama timu iliyoleta uhuruWewe muokota senene huna ishu.Mmekandika na mmetia aibu taifu punda ninyi.🤣🤣🤣🤣
Hivi ndivyo Al Hilal alichokifanya pale Benjamín Mkapa StadiumLeta timu lako linaloshiriki mashindano ya akina mama
Kwa hiyo anayefungwa kibwege ndiye mama,siyo?Dada ameolewa.Ile champion league sio mashindano ya akina mama
MHivi ndivyo Al Hilal alichokifanya pale Benjamín Mkapa Stadium
View attachment 3162491
Ile champion league sio mashindano ya akina mama
Mashindano ya akina mama ni lini tuone warembo wa SimbaKwa hiyo anayefungwa kibwege ndiye mama,siyo?Dada ameolewa.
Ioe medali mliopeleka ikulu ya kina nani vile ?Chezeni mashindano yenu ya akina mama
Mashindano ya akina mama ni lini vile japo tuone warembo wa Simba fc
M
Huna hoja umekua kama umepagawa...Chezeni mashindano yenu ya akina mama
Kiongozi wa wamama ni wewe
Lala mama koloHuna hoja umekua kama umepagawa...
Sawa mama mstaafu....
Mnaitamani CAFCL,,😆Yanga 0-Azam 1
Yanga 1-Tabora 3
Yanga 0-Alhlal 2
Pyeee pyeeee
Fupisha maneno dadaaa. Sema....Yanga 0-Azam 1
Yanga 1-Tabora 3
Yanga 0-Alhlal 2
Pyeee pyeeee
Mnaitamani CAFCL ila ndo ivo hadhi yenu ni ya kushiriki mashindano ya akina mama
🤣 Inafungwajeee!?🥴