3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Habari wana'Sport
Leo tarehe 11.4.2018 Klabu ya Singida utd kutoka Singida watakuwa Wageni wa YANGA pale Dar.
Wakiwa na rekodi ya kuwatoa Yanga kwenye kombe la FA .. Singida utd mchezo wa kwanza wa Ligi kuu walitoa droo na Yanga Kule kwao...
Sasa Leo naona Yanga ikifa mbele ya Singida ambao wametoka kupoteza mechi ya Mtibwa sugar kwa kulala 3 - 0 tena Nyumbani.. Leo hawatakubali hawa jamaa kupigwa tena ikiwa Wanaimudu vyema Yanga hata ukiangalia Michezo waliyokutana na Jangwani utapata majibu mazuri.
Sasa basi Ikiwa Yanga anapoteza mechi ya Leo au Akapata droo Tu basi Hii itakuwa ni Safari ya Ubingwa kwa Simba ambayo watakuwa sawa Michezo ila Simba atakuwa mbele POINT 5 au 6.
Singida wapo vizuri wana watu kama DEUS KASEKE Ambae anawajua Yanga hadi Uvunguni akiwa alicheza kwao msimu uliopita... Kuna jamaa anaitwa KUTINYU Jamaa ni mvurugaji sana wa Mabeki ... Angalia kiungo cha MUDATHIR YAHYA na KENY ALLY MWAMBUNGU...
Wana watu wabishi na wenye Uwezo kama BATAMBUZE, LUSHESHANGOGA n.k
Kwa sisi wanaSimba droo Tu Itatutosha sana kuelekea Kubeba Ubingwa.
Sio Mimi ndio nasema Ila Hesabu Zimegoma wana Yanga Tuvumiliane Tu Jamani.
Nipo
Singida kwa Mkopo
Leo tarehe 11.4.2018 Klabu ya Singida utd kutoka Singida watakuwa Wageni wa YANGA pale Dar.
Wakiwa na rekodi ya kuwatoa Yanga kwenye kombe la FA .. Singida utd mchezo wa kwanza wa Ligi kuu walitoa droo na Yanga Kule kwao...
Sasa Leo naona Yanga ikifa mbele ya Singida ambao wametoka kupoteza mechi ya Mtibwa sugar kwa kulala 3 - 0 tena Nyumbani.. Leo hawatakubali hawa jamaa kupigwa tena ikiwa Wanaimudu vyema Yanga hata ukiangalia Michezo waliyokutana na Jangwani utapata majibu mazuri.
Sasa basi Ikiwa Yanga anapoteza mechi ya Leo au Akapata droo Tu basi Hii itakuwa ni Safari ya Ubingwa kwa Simba ambayo watakuwa sawa Michezo ila Simba atakuwa mbele POINT 5 au 6.
Singida wapo vizuri wana watu kama DEUS KASEKE Ambae anawajua Yanga hadi Uvunguni akiwa alicheza kwao msimu uliopita... Kuna jamaa anaitwa KUTINYU Jamaa ni mvurugaji sana wa Mabeki ... Angalia kiungo cha MUDATHIR YAHYA na KENY ALLY MWAMBUNGU...
Wana watu wabishi na wenye Uwezo kama BATAMBUZE, LUSHESHANGOGA n.k
Kwa sisi wanaSimba droo Tu Itatutosha sana kuelekea Kubeba Ubingwa.
Sio Mimi ndio nasema Ila Hesabu Zimegoma wana Yanga Tuvumiliane Tu Jamani.
Nipo
Singida kwa Mkopo