ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Kuna upotoshaji unaendelea ati Yanga ameshindwa kesi, sio kweli Bali Yanga amepewa mwongozo kuwa aanzie kwenye kamati ya Rufaa ya TFF
Kanuni za CAS ni kuwa tukio linalolalamikiwa linapotokea CAS hutoa siku 21 liwe limefika mezani kwao
Baada ya bodi ya ligi kuhairisha mechi kihuni, Yanga walifata taratibu ya kuandika barua TFF, lakini TFF walikaa kimya ili kupuuza na kuwaingiza Yanga katika mtego ili siku 21 zipite na Yanga asiwe na sehemu ya kulalamika huko CAS
Yanga alitumia ujanja kupeleka kesi CAS bila kuwa na nakala ya maamzi kutoka TFF ambao walikuwa upande wa bodi ya ligi na Simba, tukumbuke kauli ya Karia alivokuwa Tanga
Kesi imefika CAS na wametoa Amri kuwa kesi irudi TFF isikilizwe na itolewe maamuzi na nakala zitolewe, Yanga asiporidhika arejee CAS na nakala ya huku
Huu ni mtego mpya Kwa Bodi ya ligi na TFF
Moto utawaka hii kesi Bado mbichi
Eng Hersi Said ni akili kubwa
Soma Pia: Yanga yadondokea pua CAS, dabi ipo palepale
TFF na bodi ya ligi wameamua kuwa matapeli na kuwa upande wa 5imba ila young Africans ni Taifa kubwa
TFF na bodi ya ligi wanaohujumu timu yetu Kwa ushabiki wao wa 5imba
Kila la heri timu ya wananchi young Africans
Yanga bingwa
Kanuni za CAS ni kuwa tukio linalolalamikiwa linapotokea CAS hutoa siku 21 liwe limefika mezani kwao
Baada ya bodi ya ligi kuhairisha mechi kihuni, Yanga walifata taratibu ya kuandika barua TFF, lakini TFF walikaa kimya ili kupuuza na kuwaingiza Yanga katika mtego ili siku 21 zipite na Yanga asiwe na sehemu ya kulalamika huko CAS
Yanga alitumia ujanja kupeleka kesi CAS bila kuwa na nakala ya maamzi kutoka TFF ambao walikuwa upande wa bodi ya ligi na Simba, tukumbuke kauli ya Karia alivokuwa Tanga
Kesi imefika CAS na wametoa Amri kuwa kesi irudi TFF isikilizwe na itolewe maamuzi na nakala zitolewe, Yanga asiporidhika arejee CAS na nakala ya huku
Huu ni mtego mpya Kwa Bodi ya ligi na TFF
Moto utawaka hii kesi Bado mbichi
Eng Hersi Said ni akili kubwa
Soma Pia: Yanga yadondokea pua CAS, dabi ipo palepale
TFF na bodi ya ligi wameamua kuwa matapeli na kuwa upande wa 5imba ila young Africans ni Taifa kubwa
TFF na bodi ya ligi wanaohujumu timu yetu Kwa ushabiki wao wa 5imba
Kila la heri timu ya wananchi young Africans
Yanga bingwa