technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Nimeona marumbano mengi kuhusu usajili wa Tuisila Kisinda watu wakiituhumu yanga lakini watu wanajifanya siasa za mpira wa bongo kwamba zimeanza leo.
Karia hajawai kuwa na jema juu ya yanga na kuna wahuni serikalini wanamkingia kifua na nilishaleta uzi hapa kumwambia awe makini na anayemkingia kifua ambaye ana cheo Cha namba 4 ndani ya serikali ya jamhuri ya Tanzania.
Vyeo upita Heshima ubaki wale wafuasi wa Magufuli wananielewa ninaposema Hivi.
Nadhani hakunielewa ila Kuna siku wadau watanielewa siku akiwa blackmailed uko mbele hasije tu kusema hatukumwambia.
Tulimwambia juu ya Morrison, Tukamwambia juu ya Yanga kucheza bila mashabiki, Tukamwambia juu ya kula percentage ya kocha wa timu ya taifa kula Rushwa mafaili yake tunayo.
Namwambia tena ukweli uwa una tabia ya kuchelewa na uongo unapanda ngazi haraka Sana
Karia mwisho wako hautakuwa mzuri let me tell you. Yanga, Simba hazitapita Ila wewe utapita na mwisho wako utakuwa mgumu sana.
Nashauri yanga wainvest kwenye kupata matokeo uwanjani Yanga ni timu Bora kwa sasa ukanda huu. Kisinda January sio mbali atasajiliwa tu aanze kazi.
Karia hajawai kuwa na jema juu ya yanga na kuna wahuni serikalini wanamkingia kifua na nilishaleta uzi hapa kumwambia awe makini na anayemkingia kifua ambaye ana cheo Cha namba 4 ndani ya serikali ya jamhuri ya Tanzania.
Vyeo upita Heshima ubaki wale wafuasi wa Magufuli wananielewa ninaposema Hivi.
Nadhani hakunielewa ila Kuna siku wadau watanielewa siku akiwa blackmailed uko mbele hasije tu kusema hatukumwambia.
Tulimwambia juu ya Morrison, Tukamwambia juu ya Yanga kucheza bila mashabiki, Tukamwambia juu ya kula percentage ya kocha wa timu ya taifa kula Rushwa mafaili yake tunayo.
Namwambia tena ukweli uwa una tabia ya kuchelewa na uongo unapanda ngazi haraka Sana
Karia mwisho wako hautakuwa mzuri let me tell you. Yanga, Simba hazitapita Ila wewe utapita na mwisho wako utakuwa mgumu sana.
Nashauri yanga wainvest kwenye kupata matokeo uwanjani Yanga ni timu Bora kwa sasa ukanda huu. Kisinda January sio mbali atasajiliwa tu aanze kazi.