Ileje JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 11,799 Reaction score 18,040 May 13, 2024 #1 Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi!
Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi!
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,256 May 13, 2024 #2 Match zilizobaki tunamchukulia Azizi kiatu chake
Doji MD JF-Expert Member Joined Dec 27, 2019 Posts 2,472 Reaction score 5,322 May 13, 2024 #3 Bado kiatu
TigerHead JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 24,835 Reaction score 26,959 May 13, 2024 #4 Ileje said: Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi! Click to expand... Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hizi🫠
Ileje said: Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi! Click to expand... Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hizi🫠
Ileje JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 11,799 Reaction score 18,040 May 13, 2024 Thread starter #5 Bengal said: Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hizi🫠 Click to expand... Semaji la kimataifa limepotea kusikojulikana!
Bengal said: Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hizi🫠 Click to expand... Semaji la kimataifa limepotea kusikojulikana!