Yanchekesha mie

Yanchekesha mie

Idd hashim

Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
79
Reaction score
17
Mateja watatu walikuwa wakihangaika kuangua embe! Waliangua kwa muda mrefu lakini hakuna aliyefanikiwa kulidondosha! Teja mmoja akaamua kupanda juu ya muembe kwenda kucheki kama ile embe itakuwa imeiva au la' alipofika juu akaibonyeza akakuta imeiva! Akashuka chini na kuwaambia wenzake "tuendelee kuitungua jamani imeiva"
 
Hahahhaha ndo mana akawa teja hajielewi

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
hahahhhhhaaaa,na mimi yuleeee,naenda kazini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom