Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Uhuru wa mhimili unaambatana na busara binafsi na hekima. Huwezi kumkatisha tamaa kiongozi wako wa nchi kwa kigezo cha kuongoza mhimili ukawa unayo haki bado ya kuendelea na cheo chako.Ukweli upi huo napinga?
Hapa ni Speaker wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi akichana hotuba ya Rais Trump huko Bungeni Marekani mbele ya Rais Trump baada ya kupishana na Rais Trump,akionyesha uma kuwa mhimili wake upo huru.View attachment 2070865