Yanayompata Ndugai ni onyo kwa wengine "usimchezee chatu(taasisi ya Urais), gongo usimtupie, utaukosa ushindi"

Nguvu ya Rais haipimwi kwa kuingilia mihimili mingine.Nguvu ya Rais huwa inapimwa kwa kuleta maendeleo ya watu,haki,demokrasia na uhuru wa watu kwa kasi.
Hebu mtuache tumalize kazi yetu, hayo unayosema ni mambo academic
 
Acha kuupinga ukweli. Urais ni habari nyingine.
Ukweli upi huo napinga?

Hapa ni Speaker wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi akichana hotuba ya Rais Trump huko Bungeni Marekani mbele ya Rais Trump baada ya kupishana na Rais Trump,akionyesha uma kuwa mhimili wake upo huru.
 
Nguvu ya Rais haipimwi kwa kuingilia mihimili mingine.Nguvu ya Rais huwa inapimwa kwa kuleta maendeleo ya watu,haki,demokrasia na uhuru wa watu kwa kasi.

Rais ambae hataki mihimili mingine kuwa huru na ifanye kazi zake ni hopeless fool.
Hiyo mifano yote inamuhusu magufuli,Samia hayupo hivyo
 
Wale waliodhani Wana deal na Samia, Sasa nadhani wanajua Wana deal na taasisi ya Urais moja kwa moja, taasisi hii ikifungua makucha yake, ni hatari sana.

Pale Kuna full squad ambayo imeapa kumlinda Rais na Urais dhidi ya chochote, pale ndio chem chem ya ulinzi na usalama wa nchi. Ni angalizo kwa watu aina ya Humphrey kwamba taasisi hii ikikufungukia, haina simile, inaweza kukujenga au kukubomoa kwa muda itakayo.

Ina vyombo vya Kila aina, watu wa Kila aina, wamezagaa Kila Kona ya dunia, acha Tanzania, Wana uwezo wa kumleta mtu yeyote mbele ya rais kutoka Kona yoyote ya nchi hii ndani ya muda mfupi saaana. Ndio maana wanasema "serikali Ina mkono mrefu"

Ukimchezea chatu, anajizungusha katika mwili wako, kinachofuata ni historia
Acha kutisha watu, hiyo taasisi kama ina nguvu imeshidwaje kupambana na umaskini na ujinga kwa miaka 60? Angalia taasisi kama hizo kwenye nchi za mashariki ya mbali
 
Hakuna uhuru usio na mipaka, uhuru wa kuharibu nchi?
Speaker hajaharibu nchi.Alitoa maoni yake kama mhimili huru.

Anaeharibu nchi ni huyu anaejiita kuwa ni Rais ambae hataki mihimili mingine kuwa huru.
 
Ukweli upi huo napinga?

Hapa ni Speaker wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi akichana hotuba ya Rais Trump huko Bungeni Marekani mbele ya Rais Trump baada ya kupishana na Rais Trump,akionyesha uma kuwa mhimili wake upo huru.View attachment 2070865
Mbona umekuwa mpumbavu sana? Idadi ya wabunge wa upinzani kwenye bunge la USA unajua ikoje? Baraza la seneti? Jipe muda usome kuhusu mfumo wa serikali ya USA kabla hujaifananisha na ya Tanzania.
 
Mbona umekuwa mpumbavu sana? Idadi ya wabunge wa upinzani kwenye bunge la USA unajua ikoje? Baraza la seneti? Jipe muda usome kuhusu mfumo wa serikali ya USA kabla hujaifananisha na ya Tanzania.
Mpumbavu ni wewe ambae hujajua nimeandika kitu gani.Idadi ya wabunge wa upinzani inahusiana nini na mhimili wa Bunge kuwa huru?
 
Acha kutisha watu, hiyo taasisi kama ina nguvu imeshidwaje kupambana na umaskini na ujinga kwa miaka 60? Angalia taasisi kama hizo kwenye nchi za mashariki ya mbali
Madarasa uliyosoma na walimu waliokufundisha, ni matunda ya CCM, ndio maana unaweza kuandika hapa JF, japo unaandika makorokocho
 
Hakuna uhuru usio na mipaka, uhuru wa kuharibu nchi?
In fact sasa hivi ndiyo nchi inaharibika zaidi na hakuna hata mbunge mmoja wa CCM atakayehoji jambo lolote serikalini. Zamani zile rais alikuwa anatishia kuvunja bunge tu, lakini siyo hii ya sasa ya kufikia CCM kumtishia spika kumvua uanachama na ubunge wake. Ingekuwa hali iko kama hivi enzi zile, lile grupu G70 lisingefurukuta na kutikisa serikali kama ilivyokuwa. Ngoja uone huko tunakokwenda. Kumbe ulikuwa mkopo wa covid unatakiwa kulipwa kwa miaka 20 ndio umekuwa unatumika hivyo!
 
Sms hizi alizotuma gwajima zinapitia TCRA, na mama zinamfikia papohapo, na bado wengi tu mawasiliano yao yako mtu kati, mpaka mama anaongea, tayari ana briefing zote za TISS, hao Sukuma gang(warundi wa Geita) hata wakiandika alama ya mkato, mama anapata taarifa siku hiyohiyo
Sukuma gang ndiyo watu gani hao? Mimi ni pro-Magufuli and yet namsupport mama kama Rais wetu.

Ninyi ndio mnaotaka kumpoteza mama kwa kufikiri adui yake ni team Magufuli.
 
Sukuma gang ndiyo watu gani hao? Mimi ni pro-Magufuli and yet namsupport mama kama Rais wetu.

Ninyi ndio mnaotaka kumpoteza mama kwa kufikiri adui yake ni team Magufuli.
Kazi iendelee
 
Wale waliodhani Wana deal na Samia, Sasa nadhani wanajua Wana deal na taasisi ya Urais moja kwa moja, taasisi hii ikifungua makucha yake, ni hatari sana.

Pale Kuna full squad ambayo imeapa kumlinda Rais na Urais dhidi ya chochote, pale ndio chem chem ya ulinzi na usalama wa nchi. Ni angalizo kwa watu aina ya Humphrey kwamba taasisi hii ikikufungukia, haina simile, inaweza kukujenga au kukubomoa kwa muda itakayo.

Ina vyombo vya Kila aina, watu wa Kila aina, wamezagaa Kila Kona ya dunia, acha Tanzania, Wana uwezo wa kumleta mtu yeyote mbele ya rais kutoka Kona yoyote ya nchi hii ndani ya muda mfupi saaana. Ndio maana wanasema "serikali Ina mkono mrefu"

Ukimchezea chatu, anajizungusha katika mwili wako, kinachofuata ni historia
Dah umeongea kwa hisia Kali na kwa weledi
 
Madarasa uliyosoma na walimu waliokufundisha, ni matunda ya CCM, ndio maana unaweza kuandika hapa JF, japo unaandika makorokocho
Ndio maana nasema ujinga umeshindikana, wewe umethibitisha hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom