Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Nafikiria niende Bongo Summer time lakini nimeambiwa kuwa December is the best time sasa kila ninapofikiria mambo haya basi n=huwa nachoka mwenyewe
je wewe yepi yanayokuboa kuhusu Bongo?
WANASIASA NA VYETI VYAO FEKI
STOCK MARKET ISIYO NA COMPUTER
KWENDA KUCHUKUA BARUA POSTA WAKATI NISHAZOEA ROYAL MAIL WANANILETEA BARUA NYUMBANI
VYOOVYETU VILIVYOJAA BIMBILI ZA MAVI
je wewe yepi yanayokuboa kuhusu Bongo?
WANASIASA NA VYETI VYAO FEKI
STOCK MARKET ISIYO NA COMPUTER
KWENDA KUCHUKUA BARUA POSTA WAKATI NISHAZOEA ROYAL MAIL WANANILETEA BARUA NYUMBANI
VYOOVYETU VILIVYOJAA BIMBILI ZA MAVI