Yanayojitokeza kwenye mjadala huu wa katiba chanzo chake ni nyerere

Papa D

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
753
182
Kikwete siyo tatizo, Makamba siyo Tatizo, Pinda siyo Tatizo, Werema siyo tatizo, Kombani siyo tatizo, wengi siyo tatizo!!:
TATIZO NI MFUMO WALIORITHI KUTOKA KWA WAKOLONI. TATIZO NI NYERERE ALIYEAMUA KUKUBALI KURITHI KATIBA YA MKOLONI KISHA KUBAKI AKITUMIA BUSARA ZAKE BADALA YA SHERIA MAMA. NYERERE ALIAMINI MA-RAIS WOTE WATAKAOMRITHI WATAMUDU KUTUMIA BUSARA ZAO KUONGOZA TAIFA PASIPO KUWA NA KATIBA IMARA. Matokeo yake warithi wake wote wametumia hiyo katiba kujenga usultani na mitandao ya WIZI [mfano hai wa mtandao wa wizi ni IPTL ukiigusa utaambiwa ina mkataba halali!!!].
Misingi ya katiba ya Mkoloni ilikuwa ni kutugawa na kututawala. baada ya uhuru tuliweka misingi ya kuungana lakini tukashindwa kuiweka kwenye andishi mkuu [KATIBA]. kiongozi wetu mkuu akaongelea kuungana ilhali sheria mama ina misingi ya kutugawa!!!
THEREFORE: in order to get the best constitution originated from our desire for unity, we need a Leader with desire to make history not a Leader desired by history!! CCM and its Leaders are desired by History!!
 
:disapointed:

Anaerithi ujinga akijua kuwa ni ujinga na akaendelea kuukumbatia ujinga akijua kuwa ni ujinga, huyu ni mjinga zaidi kuliko yule aliyeasisi ule ujinga...

Ndio maana nakumbuka Mwalimu aliwahi kusema maneno kama haya - kuwa mtu akikufanya mjinga na wewe ukajua anakufanya mjinga na wewe ukakubali kuwa mjinga basi wewe ni mpumbavu kabisa

Hakuna wa kumtetea wala kumfunika hapa.......
 
  • Thanks
Reactions: Iza
get lost!!!
ulitegemea Nyerere akutengenezee kila jambo?akutengenezee katiba ya miaka 50000000 ijayo?
Time do tells, so by this time our main problem is KATIBA na kikwazo ni JK .
even if itatengenezwa mpya katiba baada ya miaka flani itabidi ifanyiwe review.
Watu wa mawazo yako ni bora wakahamia CCM
CCM ni kopo la taka la CDM so the place will suit you
 
Mleta mada una matatizo ya akili. We endelea kuwalaumu wafu wakati binadamu wenye uhai wanawalaumu wenzao,si wafu.
 
sasa kama hayo matatizo yaliletwa na Nyerere , na bado wewe unaona ni matatizo kwani unakubali kendelea nayo na wakati UWEZO na FURSA ya kuyamaliza umepewa?
 
Mnamsingizia Nyerere wa watu bure. Chanzo chake viongozi wendawazimu,viongozi waliolewa madaraka hadi kupitiliza, viongozi waswahili wenye uchu wa madaraka. Kosa la Nyerere labda ni kuruhusu hao luteni na kapteni uliowataja hapo kujiingiza kwenye siasa. Nchi imewashinda hadi wananchi wanajichukuliwa madaraka wenyewe, yaliyotokea Tageta ni mfano mmojawapo. Lakini usijali nguvu ya umma itaamu. Ukiona zomea zomea basi hizo ndizo dalili zenyewe.
 
Baba wa Taifa Mwl Nyerere aliwai kusema.....namnukuu "Tulipokuwa madarakani tulifanya mengi mabaya na ya kipumbavu,maana na sisi ni binadamu,tatizo la viongozi wetu wa sasa ni kuwa wanadharau hata yale mazuri" mwisho wa kumnukuu...
Ni kweli Baba wa Taifa Mwl Nyerere alifanya mabaya pia na hata yeye alikiri hayo..Je kwasababu Baba wa Taifa Mwl Nyerere alifanya mabaya viongozi wetu wa sasa wanapaswa kufanya vibaya pia? Walipaswa kuchukua mazuri yote na kuyapuuza mabaya kama hili la KATIBA....
 
sasa kama hayo matatizo yaliletwa na Nyerere , na bado wewe unaona ni matatizo kwani unakubali kendelea nayo na wakati UWEZO na FURSA ya kuyamaliza umepewa?

MAANA YA MIMI KUSEMA HAYO NILIYOSEMA NI KWAMBA: Kama Rais Ni JK, hatuwezi kupata katiba Bora ............ huenda tukapata katiba ya ovyo kuliko hata iliyopo.its simply because JK is not there to do things that he will be remembered for!!!
Huenda umesoma mada yangu uki-reflect makala ndefu kama zile za kwenye Raia Mwema and other weekly news! mada yangu nimeiandika kwa ufupi kabisa maana mimi si mwandishi! [I WRITE FACTS ONLY].
 
Baba wa Taifa Mwl Nyerere aliwai kusema.....namnukuu "Tulipokuwa madarakani tulifanya mengi mabaya na ya kipumbavu,maana na sisi ni binadamu,tatizo la viongozi wetu wa sasa ni kuwa wanadharau hata yale mazuri" mwisho wa kumnukuu...
Ni kweli Baba wa Taifa Mwl Nyerere alifanya mabaya pia na hata yeye alikiri hayo..Je kwasababu Baba wa Taifa Mwl Nyerere alifanya mabaya viongozi wetu wa sasa wanapaswa kufanya vibaya pia? Walipaswa kuchukua mazuri yote na kuyapuuza mabaya kama hili la KATIBA....

THEREFORE: in order to get the best constitution originated from our desire for unity, we need a Leader with desire to make history not a Leader desired by history!! CCM and its Leaders are desired by History!!

Hapo kwenye blue ya maandishi yako ndipo paliponifanya niandika maneno yenye red hapo juu!!
To summarize:-
Nyerere wanted to be remembered for bringing unity
Mwinyi wanted to be remembered for bringing freedom for everything
Mkapa wanted to be remembered for macro economic growth
Dr. Slaa Wanted to be remembered for bringing new constitution and Micro economic
Prof. Lipumba wanted to be remembered for bringing Rule of the Law
Now. What does Kikwete want to be remembered for? This is the question caused me to write this topic!!
I truly hope you now understand the content!
H
 
Kikwete siyo tatizo, Makamba siyo Tatizo, Pinda siyo Tatizo, Werema siyo tatizo, Kombani siyo tatizo, wengi siyo tatizo!!:
TATIZO NI MFUMO WALIORITHI KUTOKA KWA WAKOLONI. TATIZO NI NYERERE ALIYEAMUA KUKUBALI KURITHI KATIBA YA MKOLONI KISHA KUBAKI AKITUMIA BUSARA ZAKE BADALA YA SHERIA MAMA. NYERERE ALIAMINI MA-RAIS WOTE WATAKAOMRITHI WATAMUDU KUTUMIA BUSARA ZAO KUONGOZA TAIFA PASIPO KUWA NA KATIBA IMARA. Matokeo yake warithi wake wote wametumia hiyo katiba kujenga usultani na mitandao ya WIZI [mfano hai wa mtandao wa wizi ni IPTL ukiigusa utaambiwa ina mkataba halali!!!].
Misingi ya katiba ya Mkoloni ilikuwa ni kutugawa na kututawala. baada ya uhuru tuliweka misingi ya kuungana lakini tukashindwa kuiweka kwenye andishi mkuu [KATIBA]. kiongozi wetu mkuu akaongelea kuungana ilhali sheria mama ina misingi ya kutugawa!!!
THEREFORE: in order to get the best constitution originated from our desire for unity, we need a Leader with desire to make history not a Leader desired by history!! CCM and its Leaders are desired by History!!

Jamani vichwa vingine sijui vina bongo au la! Unataka tubomoe hata majengo na barabara zilizojengwa na wakoloni tuzibomoe na tuanze na vya kwetu exclusively? Sheria ya Kikoloni tukishaikubali kuwa inatufaa, ikapitishwa na Bunge inaacha kuitwa ya Kikoloni, ni ya kwetu sasa, hata kama ilitokana na ile ya Kikoloni! Ndio maana mipaka ya nchi yetu tumeirithi toka kwa Wakoloni!
 
KWa katiba iliyopo na kwa waafrika sisi, yoyote anaye chansi kuwa rais hatokubali kuibadirisha katiba iliyopo na kuunda mpya kabisa, leo wanaojiita wapiganaji wakiingia pale mtashangaa wenyewe. Kwani Gbagbo naye ni ccm?
 
get lost!!!
ulitegemea Nyerere akutengenezee kila jambo?akutengenezee katiba ya miaka 50000000 ijayo?
Time do tells, so by this time our main problem is KATIBA na kikwazo ni JK .
even if itatengenezwa mpya katiba baada ya miaka flani itabidi ifanyiwe review.
Watu wa mawazo yako ni bora wakahamia CCM
CCM ni kopo la taka la CDM so the place will suit you
Ingawa umetumia jazba lakini umejibu vizuri sana kuongezea uzito tu ya enzi za nyerere yalikuwa sahihi kwa nyakati zile na baada ya kuweka misingi imara ya nchi ya umoja,ujamaa na kujitegemea, alitegemea tungeanzia pale alipoweka msing kwenda mbele.alisomesha akina kikwete BURE ili waje watumie ujuz wao kuingia mikataba yenye maslahi ndio maana hakuchimba madini,pia hao wasomi waje kuandika katiba mpya kulipeleka taifa mbele. Tuwaulize hao waliosomeshwa bure na bado wanatuibia hizo ndo fadhila? Je kama hawana faida waliyoleta kwanini vijana wa leo tusikomae nao ili nao waanze kulipa kwa lazima gharama zote za serikali wakati ule but at present value? Hawa wazee wanaogopana hata kwenye mambo ya msingi inakera sana,kuna wana ccm wengi tena tunaowaheshimu sana lakini mpaka nchi inafika hapa wanaogopa hata kukemea! Nyerere alikuwa anamsema hata rais kiutu uzima lakini ujumbe unafika,yuko wapi salim.A.Salim,sir george kahama,john s malecela na wengineo? Mnataka mteuliwe kwenye tume za usuluhishi baada ya ccm kusababisha machafuko makubwa? Sijui,sielewi,siamini kama nchi imekosa mihimili!
 
Nchi inaendeshwa kiudaku tu na kwenda kumpa kadi shitambala! What a f**k, nchi inalipuka pole pole watu wanaendelea na mizaha! Aaaaghk!
 
Back
Top Bottom