kali KENYATTA
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 288
- 166
Ratiba ya huyu jamaa imekaaje?
Anagombea urais wa Dar es Salaam. Huko kwingine anaenda kwa ajili ya mapumziko tu.
Ratiba ya huyu jamaa imekaaje?
Anagombea urais wa Dar es Salaam. Huko kwingine anaenda kwa ajili ya mapumziko tu.
Hujui kuwa Dar ina kura nyingi kuliko mkoa wowote Tanganyika na Zanzibar
Fanya hivyo mkuu hata picha za awali katika maandalizi ni toshaLeo ni leo shamra shamra za kumpokea Lowassa kisiwani Pemba zimerindima hapa kisiwani nikiwa hapa katika viwanja vya chake chake Tibirinzi umma uliopo umevunja record ya Maalim Seif kweli Lowassa ni mtu wa watu.
Nitakuwa nanyi karibu zaidi kwa picha na matukio mengine, jua ni kali sana natafuta utulivu wa picha na kuapload.
Duh mzee anapiga kazi kinoma, jana Babati, leo Pemba, nimemkubali.
Kakimbia karatu
CCM imeshafutwa visiwani Zanzibar.
CCM imeshafutwa visiwani Zanzibar.
Ratiba ya huyu jamaa imekaaje?
Sasa kama imeshafutwa shein alipitaje? Tueleze mkubwa
Pemba bangi sana hakuna ccm hata tone ha ha ha nawakubali sana malofa wapemba