gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
Ndugu wanajamvi,
Nimemsikia spika Makinda leo akiwaambia wabunge kwamba wakijibiwa majibu ya ovyo ni sawa. Ina maana yeye kama spika kwake yeye ni bora tu waziri ajibu hata likiwa jibu la ovyo?
- Wazee wazee wazeee, ni wakati Leticia Nyerere anauliza swali la nyongeza bungeni leo, ameishauri serikali ianzishe wizara ya kushughulika na wazee katika mambo muhimu kama; matibabu, chakula, malazi hasa wale ambao hawana pension.
Aidha katika michango yake ya leo ameongea vizuri sana pale anapowashauri watu wawe na uzalendo na taifa lao na waache kupost vitu vya ajabu kwenye mitandao.
Hongera sana mama! Watakuwa wamekuelewa wale wenye tabia hizo.
Nimemsikia spika Makinda leo akiwaambia wabunge kwamba wakijibiwa majibu ya ovyo ni sawa. Ina maana yeye kama spika kwake yeye ni bora tu waziri ajibu hata likiwa jibu la ovyo?
- Wazee wazee wazeee, ni wakati Leticia Nyerere anauliza swali la nyongeza bungeni leo, ameishauri serikali ianzishe wizara ya kushughulika na wazee katika mambo muhimu kama; matibabu, chakula, malazi hasa wale ambao hawana pension.
Aidha katika michango yake ya leo ameongea vizuri sana pale anapowashauri watu wawe na uzalendo na taifa lao na waache kupost vitu vya ajabu kwenye mitandao.
Hongera sana mama! Watakuwa wamekuelewa wale wenye tabia hizo.