Yanayojiri bungeni Dodoma: Leo tarehe 6 June, 2014

gogo la shamba

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
6,670
2,165
Ndugu wanajamvi,

Nimemsikia spika Makinda leo akiwaambia wabunge kwamba wakijibiwa majibu ya ovyo ni sawa. Ina maana yeye kama spika kwake yeye ni bora tu waziri ajibu hata likiwa jibu la ovyo?

- Wazee wazee wazeee, ni wakati Leticia Nyerere anauliza swali la nyongeza bungeni leo, ameishauri serikali ianzishe wizara ya kushughulika na wazee katika mambo muhimu kama; matibabu, chakula, malazi hasa wale ambao hawana pension.

Aidha katika michango yake ya leo ameongea vizuri sana pale anapowashauri watu wawe na uzalendo na taifa lao na waache kupost vitu vya ajabu kwenye mitandao.

Hongera sana mama! Watakuwa wamekuelewa wale wenye tabia hizo.
 
Wapi hiyo, kwenye huu mchezo wa kuigiza unaorushwa na tbc na stat tv. Nadhani huo unaanza saa tatu adubuhi. Bahati mbaya episode ya leo sijaiona, ningeweza kuchangia
 
unakumbuka uspika alipewa katika mazingira gani? unadhani waliompa hawakuwa na malengo yao mahsusi? anawatumikia hao na c vinginevyo. maslahi kwanza.
 
Ndugu wanajamvi,

Nimemsikia spika Makinda leo akiwaambia wabunge kwamba wakijibiwa majibu ya ovyo ni sawa. Ina maana yeye kama spika kwake yeye ni bora tu waziri ajibu hata likiwa jibu la ovyo?

Labda kwasababu na yeye ni mtu wa HOVYO. BTW, unategemea nini kwa Spika ambaye qualification yake ilikuwa ni BIKIN?!
 
Wana JF,

Nimekuwa nikisikiliza bunge letu tukufu na pengine kivutio kikuu au kichekesho kikuu ni huyu Mh. spikaaa bi Anna Makinda anapomwaga kiswahili chake cha "kibena" kufafanua jambo fulani. Kwa mfano leo kivutio kikuu kilichofanya hadi baadhi ya wabunge wacheke ni pale alipowaambia wabunge wawe wanaangalia saa kabla ya kuchangia lakini kwa msemo wake "nimewaambia tosomage saa pamoja hee!" iliwaacha hoi wabubge wengi. Nashauri baraza la kiswahili na la kiingereza kama lipo wampe "tuition" huyu mama. Nasikia akiongea kimombo hali inakuwa ni mbaya zaidi.

Ni hayo tu kwa leo.
 
Aliwaambia vile kwakuwa wengi waliouliza maswali ya nyongeza ukiacha wale waliouliza maswali ya msingi waliuliza maswali toka majimbo yao kitu ambacho waziri hawezi jibu kwakuwa hakujiandaa nayo. Alishawaelekeza ndio maana akawaambia msishangae mtapata majibu ya hovyo hovyo. Mfano swali la msingi mbunge anauliza matatizo ya maji kyela, mwingine anauliza la nyongeza kilolo hapo itakuwa ngumu kwa wakati huo kwakuwa waziri hakujiandaa kwa kilolo. Ndivyo utaratibu wa kuuliza maswali ya nyongeza. Alikuwa anatoa tahadhari tu.
 
Wana JF,

Nimekuwa nikisikiliza bunge letu tukufu na pengine kivutio kikuu au kichekesho kikuu ni huyu Mh. spikaaa bi Anna Makinda anapomwaga kiswahili chake cha "kibena" kufafanua jambo fulani. Kwa mfano leo kivutio kikuu kilichofanya hadi baadhi ya wabunge wacheke ni pale alipowaambia wabunge wawe wanaangalia saa kabla ya kuchangia lakini kwa msemo wake "nimewaambia tosomage saa pamoja hee!" iliwaacha hoi wabubge wengi. Nashauri baraza la kiswahili na la kiingereza kama lipo wampe "tuition" huyu mama. Nasikia akiongea kimombo hali inakuwa ni mbaya zaidi.

Ni hayo tu kwa leo.

Kweli mkuu naangalia bunge huyu .mama anachapia sana
 
Aliwaambia vile kwakuwa wengi waliouliza maswali ya nyongeza ukiacha wale waliouliza maswali ya msingi waliuliza maswali toka majimbo yao kitu ambacho waziri hawezi jibu kwakuwa hakujiandaa nayo. Alishawaelekeza ndio maana akawaambia msishangae mtapata majibu ya hovyo hovyo. Mfano swali la msingi mbunge anauliza matatizo ya maji kyela, mwingine anauliza la nyongeza kilolo hapo itakuwa ngumu kwa wakati huo kwakuwa waziri hakujiandaa kwa kilolo. Ndivyo utaratibu wa kuuliza maswali ya nyongeza. Alikuwa anatoa tahadhari tu.


Unamaanisha nini kuwa hakujiandaa wakati ni eneo lake la kazi!!!!???????
Yaani mtu unaulizwa kuhusu kazi zako za kila siku inatakiwa uambiwe kesho ntakuuliza hiki ili ujiandae!!!!?????

Inatakiwa la msingi labda apewe ila ya nyongeza alipuliwe ndio watakuwa makini na kila hatua ya utendaji ila kama ya kuandaliwa si hata wewe unaweza kwenda kusoma pale!!!!!!
 
Labda kwasababu na yeye ni mtu wa HOVYO. BTW, unategemea nini kwa Spika ambaye qualification yake ilikuwa ni BIKIN?!

Haaa haaa! Correction, qualification yake ilikuwa kuwa/kumiliki kiungo kinaitwa 'k'. Komba anakipenda hicho!
 
Aruhusiwe aongoze bunge kwa lugha ya kwao; hilo kwa ccm linawezekana!!!
 
Unamaanisha nini kuwa hakujiandaa wakati ni eneo lake la kazi!!!!???????
Yaani mtu unaulizwa kuhusu kazi zako za kila siku inatakiwa uambiwe kesho ntakuuliza hiki ili ujiandae!!!!?????

Inatakiwa la msingi labda apewe ila ya nyongeza alipuliwe ndio watakuwa makini na kila hatua ya utendaji ila kama ya kuandaliwa si hata wewe unaweza kwenda kusoma pale!!!!!!

watanzania tumechokwa,supika anawasapot mawaziri wajibu majibu ya hovyo
 
Wana JF,

Nimekuwa nikisikiliza bunge letu tukufu na pengine kivutio kikuu au kichekesho kikuu ni huyu Mh. spikaaa bi Anna Makinda anapomwaga kiswahili chake cha "kibena" kufafanua jambo fulani. Kwa mfano leo kivutio kikuu kilichofanya hadi baadhi ya wabunge wacheke ni pale alipowaambia wabunge wawe wanaangalia saa kabla ya kuchangia lakini kwa msemo wake "nimewaambia tosomage saa pamoja hee!" iliwaacha hoi wabubge wengi. Nashauri baraza la kiswahili na la kiingereza kama lipo wampe "tuition" huyu mama. Nasikia akiongea kimombo hali inakuwa ni mbaya zaidi.

Ni hayo tu kwa leo.

Mkuu huyu mama si kwamba hajui Kiswahili anajua sana, nami nimemckia akitamka hilo neno. Nnachokiona kwa Mh Anna ni kwamba huwa hali-relax yuko too emotion.
 
Unamaanisha nini kuwa hakujiandaa wakati ni eneo lake la kazi!!!!???????
Yaani mtu unaulizwa kuhusu kazi zako za kila siku inatakiwa uambiwe kesho ntakuuliza hiki ili ujiandae!!!!?????

Inatakiwa la msingi labda apewe ila ya nyongeza alipuliwe ndio watakuwa makini na kila hatua ya utendaji ila kama ya kuandaliwa si hata wewe unaweza kwenda kusoma pale!!!!!!

Mkuu hata ungekuwa wewe huwezi jibu kila swali. Ndio maana maswali ya msingi yanapelekwa mwezi mmoja kabla. Tatizo ni pale mbunge ambaye hakuwa wa swali la msingi akiuliza swali la nyongeza wanajisahau inatakiwa liwe la jumla. Nikupe tena mfano. Mbunge wa kibakwe akimuuliza wzr wa Elimu swali la msingi, ni walimu wangapi amepelekewa jimboni kwake kisha mbunge wa mbinga akasimama kuuliza swali la nyongeza kuwa na yeye kapelekewa walimu wangapi? Ni wazi waziri atashindwa kumjibu vzr mbunge wa mbinga kwakuwa hakujiandaa kujibu hbr za mbinga. Kumbuka kuna wilaya 133 na halmashauri 168. Na kanuni hazikubali ndio maana unasikia spika huwa anasema hilo ni swali jipya.
 
Hatuna Spika katika Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,badala yake tuna kivuli cha mtu kinachojifanya ni spika!
 
Wana JF,

Nimekuwa nikisikiliza bunge letu tukufu na pengine kivutio kikuu au kichekesho kikuu ni huyu Mh. spikaaa bi Anna Makinda anapomwaga kiswahili chake cha "kibena" kufafanua jambo fulani. Kwa mfano leo kivutio kikuu kilichofanya hadi baadhi ya wabunge wacheke ni pale alipowaambia wabunge wawe wanaangalia saa kabla ya kuchangia lakini kwa msemo wake "nimewaambia tosomage saa pamoja hee!" iliwaacha hoi wabubge wengi. Nashauri baraza la kiswahili na la kiingereza kama lipo wampe "tuition" huyu mama. Nasikia akiongea kimombo hali inakuwa ni mbaya zaidi.

Ni hayo tu kwa leo.

yaani ni mwendo wa "senk yuu vere machee, sasa namwita kingunge ngombare mwiru, akifuatiwa na injinia stela manyanya wakati joni pombe akijiandaa" teh teh teh mkuu ni full burudani.
 
Back
Top Bottom