respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,557
- 3,835
Mapunda:ukizoea kusema uongo utaendelea kuishi kwa uongo
Huyu jamaa anajua maana ya anachozungumza! Hapa si anajisema yeye mwenyewe pamoja na lichama lao? Kweli hawa hawawezi kuishi bila uwongo.
BACK TANGANYIKA