Yanayofanyika Zanzibar kwanini yanashindikana Tanzania bara?

AKILI TATU

JF-Expert Member
Feb 10, 2016
2,658
2,804
Wanabodi habari,

kuna msemo mnyonge mnmyongeni haki yake mpeni Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na mfuko wa hifadhi Zanzibar wanaboresha makazi ya raia wa hali ya chini kabisa huko fukweni Zanzibar.

Wanachokifanya wanaingia mikataba na wakazi wa maeneo hayo, mkataba huo unakuwa wa mwaka mmoja wa kuboresha makazi katika kiwanja chako ambapo panajengwa ghorofa la kisasa ambapo likisha kamilika unapewa hati yako.

Ambapo unaruhusiwa kuuza apartment yako kama utataka ila ghorofa za juu zitapangishwa na serikali kwa makubaliano ya kimaslahi na mwenye kiwanja.

Uzuri wa mradi huo wakazi wanaohamishwa wanalipwa milioni 5 za kodi ya nyumba, ambapo kodi wamekadiriwa laki 3 kwa mwezi wanalipwa kwa mkupuo zote gharama za usafiri plus gharama za usumbufu ambazo ndio zinaleta jumla ya hiyo milioni 5.

Mradi huo ambao utakuwa wa awamu utajekwa kwa hatua ambapo wanasema mpaka ukamilike utagharimu Bilioni 200 hivi na utaanza na nyumba 51 yani huko Zanzibar watu wa Fukweni wanafurahia hatari.

Tisa kumi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuona janja janja ya wakandarasi wa China wameamua kununua magari ya kutengeneza Barbara na madaraja kwa pesa zao na wataanza kutumia wataalamu wazawa wa serikali katika ujenzi wa miradi ya Barbara . Hii inaonyesha kuna vitu serikali ikiamua kufanya inawezekana kabisa.

I wonder why huku bara pamoja na kwamba Zanzibar ni ndogo kulinganisha na Tanzania bara kuanzia watu na kila kitu but why hakuna hata uthubutu wa sisi huku serikali yetu kufanya miradi inayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Zaidi wanatufanyia miradi mingi hewa ambayo kimsingi itachukua muda mwingi kuja kugusa maisha ya raia wengi moja kwa moja.Kuna haja ya Tanzania bara kwenda kujifunza namna ya kuhudumia wananchi huku Zanzibar.
 
Wanabodi habari..kuna msemo mnyonge mnmyongeni haki yake mpeni...SMZ kwa kushirikiana na mfuko wa hifadhi Znz wanaboresha makazi ya watu RAIA wa hali ya chini kabisa huko fukweni Znz...

Wanachokifanya ..wanaingia mikataba na wakaazi was maeneo hayo..mkataba huo unakuwa was mwaka mmoja was kuboresha makazi..katika kiwanja chako..ambapo panajengwa ghorofa la kisasa ambapo likisha kamilika..unapewa hati yako..ambapo unaruhusiwa kuuza apartment yako kama utataka..ila ghorofa za juu zitapangishwa na serikali... Kwa makubaliano ya kimaslahi na mwenye kiwanja...

Uzuri wa. Mradi huo..wakaazj wanaohamishwa wanalipwa milioni 5 za kodi ya nyumba,ambapo kodi wamekadiriwa laki 3 kwa mwezi,wanalipwa kwa mkupuo zote ..gharama za usafiri plus gharama za usumbufu ambazo ndio zinaleta jumla ya hiyo milioni 5 ...

Mradi huo ambao utakuwa wa awamu utajekwa kwa hatua ambapo wanasema mpaka ukamilike utagharimu Bilioni 200 hivi....

Na utaanza na nyumba 51..yani huko znz watu wa. Fukweni wanafurahia hatari...

Tisa kumi..smz kwa kuona janja janja ya wkandarasi wa China..wameamua kununua magari ya kutengeneza Barbara na madaraja kwa pesa zao...na wataanza kutumia wataalamu wazawa wa serikali katika ujenzi wa miradi ya Barbara ...hii inaonyesha kuna vitu serikali ikiamua kufanya inawezekana kabisa...

I wonder why huku bara pamoja na kwamba kweli Znz ni ndogo kulinganisha na tz bara..kuanzia watu na kila kitu..but why hakuna hata uthubutu wa sisi huku serikali yetu kufanya miradi inayomgusa mwananchi moja kwa moja...zaidi wanatufanyia miradi mingi hewa ambayo kimsingi itachukua muda mwingi kuja kugusa maisha ya RAIA wengi moja kwa moja...

Kuna haja ya Tanzania bara kwenda kujifunza namna ya kuhudumia wananchi huku Znz.
Kama kule umeita Zanzibar kwanini huku kwengine usiite Tanganyika ? Tanzania bara ndiyo ipi hiyo ?
 
Zanzibar ushatuacha mbali....
1)Juzi Mh Rais na viongozi waandamizi wa Zanzibar walikuwa wanajadili kuwaongeza wazee wastaaf pesa ya kujikimu huku bara ni sarakasi tupu
2) Watumishi wa umma Zanzibar kila mwaka huongezewa mshahara kwa asilimia kadhaa..huku bara watumishi wanakimbiza mwaka wa tano bila senti moja kuongezwa
3) Zanzibar kuna mengi ambayo huwez kuyalinganisha na bara
4) Wazee wa Zanzibar matibabu ni bure kwa dhati...bara kama huna pesa Mzee wako atafia kwenye benchi huku ukutani kuna bango la mpishe mzee ahudumiwe kwanza.....chezea bara wewe.
 
Wanabodi habari..kuna msemo mnyonge mnmyongeni haki yake mpeni...SMZ kwa kushirikiana na mfuko wa hifadhi Znz wanaboresha makazi ya watu RAIA wa hali ya chini kabisa huko fukweni Znz...

Wanachokifanya ..wanaingia mikataba na wakaazi was maeneo hayo..mkataba huo unakuwa was mwaka mmoja was kuboresha makazi..katika kiwanja chako..ambapo panajengwa ghorofa la kisasa ambapo likisha kamilika..unapewa hati yako..ambapo unaruhusiwa kuuza apartment yako kama utataka..ila ghorofa za juu zitapangishwa na serikali... Kwa makubaliano ya kimaslahi na mwenye kiwanja...

Uzuri wa. Mradi huo..wakaazj wanaohamishwa wanalipwa milioni 5 za kodi ya nyumba,ambapo kodi wamekadiriwa laki 3 kwa mwezi,wanalipwa kwa mkupuo zote ..gharama za usafiri plus gharama za usumbufu ambazo ndio zinaleta jumla ya hiyo milioni 5 ...

Mradi huo ambao utakuwa wa awamu utajekwa kwa hatua ambapo wanasema mpaka ukamilike utagharimu Bilioni 200 hivi....

Na utaanza na nyumba 51..yani huko znz watu wa. Fukweni wanafurahia hatari...

Tisa kumi..smz kwa kuona janja janja ya wkandarasi wa China..wameamua kununua magari ya kutengeneza Barbara na madaraja kwa pesa zao...na wataanza kutumia wataalamu wazawa wa serikali katika ujenzi wa miradi ya Barbara ...hii inaonyesha kuna vitu serikali ikiamua kufanya inawezekana kabisa...

I wonder why huku bara pamoja na kwamba kweli Znz ni ndogo kulinganisha na tz bara..kuanzia watu na kila kitu..but why hakuna hata uthubutu wa sisi huku serikali yetu kufanya miradi inayomgusa mwananchi moja kwa moja...zaidi wanatufanyia miradi mingi hewa ambayo kimsingi itachukua muda mwingi kuja kugusa maisha ya RAIA wengi moja kwa moja...

Kuna haja ya Tanzania bara kwenda kujifunza namna ya kuhudumia wananchi huku Znz.
hapo kwenye barabara wasithubutu,barabara za zenji ni kanyaga twende kinoma linapokyja suala la ubora!
 
Uadilifu unawabeba, huku watu wapo bize kupiga 10%
Big yes mzee..huku mawatu tunaangalia matumbo yetu..maana hata plan zetu za maendeleo zinabase kwanza kwenye kuhakikisha familia zetu binafsi zinanufaika na miradi tekelezwa..
 
Wanabodi habari..kuna msemo mnyonge mnmyongeni haki yake mpeni...SMZ kwa kushirikiana na mfuko wa hifadhi Znz wanaboresha makazi ya watu RAIA wa hali ya chini kabisa huko fukweni Znz...

Wanachokifanya ..wanaingia mikataba na wakaazi was maeneo hayo..mkataba huo unakuwa was mwaka mmoja was kuboresha makazi..katika kiwanja chako..ambapo panajengwa ghorofa la kisasa ambapo likisha kamilika..unapewa hati yako..ambapo unaruhusiwa kuuza apartment yako kama utataka..ila ghorofa za juu zitapangishwa na serikali... Kwa makubaliano ya kimaslahi na mwenye kiwanja...

Uzuri wa. Mradi huo..wakaazj wanaohamishwa wanalipwa milioni 5 za kodi ya nyumba,ambapo kodi wamekadiriwa laki 3 kwa mwezi,wanalipwa kwa mkupuo zote ..gharama za usafiri plus gharama za usumbufu ambazo ndio zinaleta jumla ya hiyo milioni 5 ...

Mradi huo ambao utakuwa wa awamu utajekwa kwa hatua ambapo wanasema mpaka ukamilike utagharimu Bilioni 200 hivi....

Na utaanza na nyumba 51..yani huko znz watu wa. Fukweni wanafurahia hatari...

Tisa kumi..smz kwa kuona janja janja ya wkandarasi wa China..wameamua kununua magari ya kutengeneza Barbara na madaraja kwa pesa zao...na wataanza kutumia wataalamu wazawa wa serikali katika ujenzi wa miradi ya Barbara ...hii inaonyesha kuna vitu serikali ikiamua kufanya inawezekana kabisa...

I wonder why huku bara pamoja na kwamba kweli Znz ni ndogo kulinganisha na tz bara..kuanzia watu na kila kitu..but why hakuna hata uthubutu wa sisi huku serikali yetu kufanya miradi inayomgusa mwananchi moja kwa moja...zaidi wanatufanyia miradi mingi hewa ambayo kimsingi itachukua muda mwingi kuja kugusa maisha ya RAIA wengi moja kwa moja...

Kuna haja ya Tanzania bara kwenda kujifunza namna ya kuhudumia wananchi huku Znz.
We acha kuwasikiliza wale ni waswahili puree km unabisha hizo maneno tu ya kuombea kura 2020 over....
Zanzibar bado Sana.
 
Huo ni mwendelezo wa muasisi wa Taifa hilo alipowajengea ghorofa za Michezani na kuwagawia bure wananchi. Zanzibar isingekuwa kwenye Muungano huu ingelikuwa Dubai au Oman.
Noma.sana mzee..nashindwaga kujua huu utofauti wa serikali ya huku na kule hasa katika muktaza wa maendeleo unapishana vipi hali serikazli zote baba yao ni ccm
 
ukishamnyonga unampaje haki yake ????

usibugie ka sponji kila msemo wa wahenga
Misemo na nahau huwa haitafsiriwi wima wima kama.unavyofanya ...mzee hujapita shule kujua tamathali za semi ??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom