Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
Baada ya Israel kuwaua wanamapambano wa Lebanon sita sasa Hezbollah wamejibu kipigo na kushambulia wanajeshi wa israel.
Wanajeshi 18 wa Israel wameangamizwa na Hezbollah huku Israel ikidanganya kuwa ni wanajeshi wake wawili tu waliouawa.
Hii Imedhirisha Wazi Kuwa Na Jinsi Gani Wanamapambano Wa Hezbollah Wanaweza Kukabiliana Na Israel Bila Uoga
Size Ya Israel Ni Hamas Na Siyo Hezbollah.
Weledi Wa Mambo Wanasema Endapo Israel Itaanzisha Mashambulizi Huko Lebanon,huenda Wakapigwa Vibaya Na Hezbollah.
Ikumbukwe Kuwa Mwaka 2006 Israel Ilianzisha Mashambulizi Dhidi Ya Hezbollah Vita Vilovyodumu Kwa Siku 22 Ambapo Hezbullah Ilipata Ushindi Mkubwa Na Kuifanya Israel Kupata Kipigo Aibu Na Fedheha Hadi Baadhi Ya Viongozi Wa Israel Kujiuzulu.
Wanajeshi 18 wa Israel wameangamizwa na Hezbollah huku Israel ikidanganya kuwa ni wanajeshi wake wawili tu waliouawa.
Hii Imedhirisha Wazi Kuwa Na Jinsi Gani Wanamapambano Wa Hezbollah Wanaweza Kukabiliana Na Israel Bila Uoga
Size Ya Israel Ni Hamas Na Siyo Hezbollah.
Weledi Wa Mambo Wanasema Endapo Israel Itaanzisha Mashambulizi Huko Lebanon,huenda Wakapigwa Vibaya Na Hezbollah.
Ikumbukwe Kuwa Mwaka 2006 Israel Ilianzisha Mashambulizi Dhidi Ya Hezbollah Vita Vilovyodumu Kwa Siku 22 Ambapo Hezbullah Ilipata Ushindi Mkubwa Na Kuifanya Israel Kupata Kipigo Aibu Na Fedheha Hadi Baadhi Ya Viongozi Wa Israel Kujiuzulu.