Na mzungu ni rahimu sana kama aliweza kukuchukueni kutoka makweni hadi Caribian island, ulaya na marekani.
Fungua macho na kaangalie series za maigizo inaiyokwenda kwa jina "THE ROOT" itafaham vyema unachokisema.
Mie nimetoka ku cheki ila MB zimeisha sasa nataka nkanunue nyngne ili kucheki kwa uhalisia nilichokuwa nafundishwa darasani sasa kinaonekana live kwenye karne hii ya 21
Yah mi sishangai kwan walitaka wenywe labda liwe fundisho kwa nchi nyingine kuwa mkimpta mtetezi mlinden mpka tone lako mwisho la damu na sio kumsaliti na kushangilia.
tuwanunue tuwapeleke wapi wakati wao ni weak(dhaifu) kuliko sisi....kwenye upande wa kufanya kazi ngumu mtu mweusi ni strong zaidi kuliko mtu mweupe ndo maana walikua wanachukuliwa huku Africa wanapelekwa marekani kwenda kufanya kazi hasa kilimo..tukiwanunua wazungu labda tuje wape kazi za ndani tu
Mbona kama uko nje ya uhalisia maana wanaouzwa walimsaliti vipi gadafi wakati hao ni wasudan eritiria somalia na wanigeria
Wengi ni wakimbizi wanaochukuliwa kutoka kwenye makambi na wanaokamatwa