Yanayoendelea huko Libya

mkuu huko ni libya(kaskazini mwa afrika) na sio ulaya
Hao naskia wanakamatwaga baharini au wakiwa wameshavuka maji kuingia ulaya afu wanavushwa tena kuletwa Libya wanawekwa vizuizini ili warejeshwe kwenye nchi walizotokea. Sasa wakati wanaposubiri UN waje wawachukue ndo wanaendelea kufanyiwa shughuli kama hizo, ubakaji na mauaji na sasa hv wanauzwa kama nazi kuanzia dola 400 (Tsh 900,000) kwa mnada.
Acha yawakute. Wanakimbilia ulaya kulishajengwa badala wajenge makwao.
 
Hawa hawana akili,kinachowafanya waende huko ni ulaya,hivi ulaya ni paradiso ?Acha wauzwe tu labda litakuwa fundisho kwa wengine wanaotaka kutumia njia hizo hizo kwenda ulaya.
watu wanatafuta maisha popote pale duniani! wanaume ameumbwa mateso!
 
"akufukuzaye hakwambii toka"
msemo huu naupinga hawa.

black hawatakiwi sema wanashindwa kujiongeza wanang'ang'ania utafikiri wazawa bwana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…