mimi nadhani bora zote angeweka nyanya, maana kiazi kigumu nyanya laini sasa bora vyote viwe laini.hahaha,wana raha hao hawanunui mboga za majani! angemuwekea moja kiazi nyingine nyanya,lol
Kuna jamaa alikuwa na matatizo ya uzazi, alipokwenda kwa dokta akapimwa, lakini dokta akazippenda korodani za mshkaji kutokana na size yake,akaamua kuzichukua na kuziweka kama kumbukumbu, in return akachonga viazi na kumuwekea mshikaji kama korodani, baada ya wiki mbili dokta akakutana na jamaa akamuuliza anaendeleaje, jamaa akajibu " KIAFYA NAJISKIA VIZURI ILA HUKU CHINI BADALA YA KUOTA ZILE NYWELE SASA IVIYANAOTA MATEMBELE! Eee! Kweli! We ndo Baba V.