chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,981
Haya magazeti na title za kishabiki bana, yaani mtanzania wanaandika 'wenye nyumba sasa KUISOMA NAMBA' na yale ya udaku yaandikeje sasa?
There you go again....badala ya kuchangia mada ni ushabiki wa kitoto wa Lumumba vs Ufipa.. kama wewe ni mtoto basi sikulaumu, ila kama ni mtu mzima basi Watanzania tuna kazi sanaKatika uzi huu, inafaa kabla hujachangia unadeclare interest kwanza kama wewe ni mpangaji ama mwenye nyumba. Mleta uzi bila shaka ni mpangaji kwa kadri alivyoandika maana kwa malipo ya Ufipa mpaka ujenge nyumba itachukua miaka 50
Tafuta gazeti la Mtanzania usome.Mtoa Uzi amekurupuka kuleta Uzi usiokamilika hebu fafanua kaka kodi gani hiyo n
Sasa wewe umeleta uzi kwa kichwa cha habari, no research no right to speak....hii mada ipo incomplete, huyu atakuwa kaamka saa 11 alfajili kumkimbia mwenyenyumba, lipa kodi uishi kwa amaniTafuta gazeti la Mtanzania usome.
Wewe utakuwa una laana. Kwa nini kuharibu mjadala muhimu kama huu unaogusa watu wengi na wenye manufaa pia kwa nchi?Katika uzi huu, inafaa kabla hujachangia unadeclare interest kwanza kama wewe ni mpangaji ama mwenye nyumba. Mleta uzi bila shaka ni mpangaji kwa kadri alivyoandika maana kwa malipo ya Ufipa mpaka ujenge nyumba itachukua miaka 50
Achana na huyo mtu ni zero brain!Wewe utakuwa una laana. Kwa nini kuharibu mjadala muhimu kama huu unaogusa watu wengi na wenye manufaa pia kwa nchi?
Mambo ya ufipa ya nini hapa? Lazima una laana wewe!
Hii ni kodi ya mapato ya pango
Sio shida atakaeumia zaidi ni mpangaji
Hivyo viwango elakezi utaona vitakavyowaumiza wapangaji kama sukari...
Kama ni hivyo basi magazeti yasisomwe kwenye tv wala kwenye vituo vya redio.Sasa wewe umeleta uzi kwa kichwa cha habari, no research no right to speak....hii mada ipo incomplete, huyu atakuwa kaamka saa 11 alfajili kumkimbia mwenyenyumba, lipa kodi uishi kwa amani
hapa namba inasomwa na wapangaji, mwenye nyumba anakwambia nipe laki mbili net, TRA utawalipa ww mwenyeweSasa unadhani shida itakuwa kwa mwenye nyumba ama mpangaji? Bei elekezi haijawahi kuzaa matunda nchini hivyo sihitaji kufikiri juu ya hilo!
Tanzania ya viwanda vya ujinga.
Mjima nani!! Kama hela ya kununua gazeti imekushinda utaweza kulipa kodi....chumba cha giza cha sh 10,000 kina kushinda kazi kumkimbia mwenyenyumbaKama ni hivyo basi magazeti yasisomwe kwenye tv wala kwenye vituo vya redio.
Tumia akili.Lengo ni kujulisha watu ni nini kimeripotiwa na kama kuna habari imekuvutia ni jukumu lako kutafuta gazeti husika au kuli-search mtandaoni.
Acha kuishi kijima!!
Katika uzi huu, inafaa kabla hujachangia unadeclare interest kwanza kama wewe ni mpangaji ama mwenye nyumba. Mleta uzi bila shaka ni mpangaji kwa kadri alivyoandika maana kwa malipo ya Ufipa mpaka ujenge nyumba itachukua miaka 50
UMEONGEA POINT SANA MKUUNyumba zipi. Kuna surveyed kama za masaki na mbezi beach zenye hati na building permit, kuna unsurveyed kama zile za manzese na vingunguti. Kuna za mabondeni kama zile za jangwani, kuna zilizo hifadhi ya Barbara zinazosubiri kuvunjwa. Kuna zilizo mita sitini kutoka mito. Naiona changamoto kwa serikali iliyokuwa inabeza makazi yasiyo rasmi na mengine kuyabomoa leo hii kuyategemea kwa kodi