NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Nina boyfriend ambae sasa tumeanza mwaka wa pili kwenye mahusiano yetu na katika haya mahusiano kutokana na huyo jamaa kuwa ni mkorofi, mtemi na anayeamua mambo yake mimi kumsikiliza tu sitakiwi kupinga na hata nikipinga halitafanyiwa kazi, katika kuanza mahusiano yetu nikatambulishwa kwa mama mkwe na jamaa always huwa anadai kwangu ndo amefika kwani amefikia umri wa kuoa ana miaka 34 sasa lakini mahusiano yangu yamekuwa ni ya mateso sana.
Jamaa yuko busy sana na friends zake na pia yuko bussy na ndugu zake tu yan mpaka nachokaga mwenyewe na always hayuko mwepesi kutamka mpenzi nimekumiss natamani kukuona labda mimi ndo niseme hivyo then acheck if possible ndo tumeet au niende kwao na yeye akiwepo, lakini mwendo ni kuangalia taarifa ya habari kwa kwenda mbele hana muda wa kuongea na mimi na kufanya mapenzi ni mpaka mwezi uandame kweli hii ni haki? Lakini mbali ya hayo yote nikawa navumilia kwa kuwa mipango yetu ni kuoana loh!
Sasa juzi kati hapa nipo nae usiku wa manane simu yake ikaita nikapokea nikakutana na binti namuuliza anasemaje anasema anamhitaji jamaa nikamuuliza ni nani yako? akasema just a friend na hapo jamaa alikuwa hapo pembeni kawa mdogo ka sisimizi.
Nikamwambia yule binti apige badae kidogo akasema poa.
Baadae nikapiga simu nilichukua namba ya yule dada na namba ya demu mwingine nikaikuta nikachukua wote alikuwa anawasiliana nao bila mimi kujijua wakati tumekaa wote.
Huyu demu wa kwanza akaniambia shosti ngoja nikwambie kitu huyo bwanako ni malaya mbwa sema tu mna mpango wa kuoana otherwise ningekwambia muachane na nakuomba tuonane nikupe list ya wanawake anaodeal nao kimapenzi ujionee miujiza tena shost ujiandae kukutana na ndoa ya matatizo mwanaume wako ni malaya aloshindikana yani dina nilisikia kufa we acha tu. Lakini yeye kama yeye akasema hana mahusiano naye.
Demu wa pili akasema yeye kama yeye ni mpenzi wake tena wana miaka mitatu na aliwah kunisikia siku nyingi akamkanya, na jamaa amekiri huyu demu wa pili kweli alikuwa nae lakini sio sasa, huyo demu kwa sasa anajing'ang'aniza kwa maelezo ya jamaa, na cha ajabu dada dina huyo dada hatambuliki popote hata familia ya jamaa na ndugu wengi wananitambua lakini ndo hivyo kumbe nina mwenzangu lakini ndg wote wamekana hawamjui huyo binti. Na huyo binti aliniomba tuonane na akaniambia yuko tayari hata kuniita akiwa na jamaa nione mwenyewe kwa macho yangu lakini ukweli nimekataa kwenda kwenye appointment walizoniomba nisije kuchomwa kisu mie.
Jamaa kwa kifupi kawakana wote kushiriki mahusiano nao.
Sasa hebu nishauri ndugu yako huyu kweli anastahili kuwa wa maisha? Mbona ananipa jakamoyo la maisha?
Kwa maana nimeshatendwa mpaka nahisi kuchanganyikiwa huyo ni mwanaume wa 4 kila nikikaribia kutambulishana nae nyumbani ukweli unajiweka hadharani mwisho wa siku namwaga manyaga naumia sana mpaka nakuja kusahau.
Hapa nilipo sili karibu mwezi sasa na pia sina furaha muda wote kwa ajili ya mawazo na nimeshindwa kujisahaulisha na japo jamaa anajidai kunipenda lakini nimeshindwa kusahau hao wanawake kichwani kwangu na maneno waliyoniambia, so please naomba mnishauri m stressed najua mmekutana na mengi so naomba tushee haya mapito may be ushauri wenu unaweza kunipa matumaini mapya kuwa nifikie maamuzi yapi.
Doreen.
Jamaa yuko busy sana na friends zake na pia yuko bussy na ndugu zake tu yan mpaka nachokaga mwenyewe na always hayuko mwepesi kutamka mpenzi nimekumiss natamani kukuona labda mimi ndo niseme hivyo then acheck if possible ndo tumeet au niende kwao na yeye akiwepo, lakini mwendo ni kuangalia taarifa ya habari kwa kwenda mbele hana muda wa kuongea na mimi na kufanya mapenzi ni mpaka mwezi uandame kweli hii ni haki? Lakini mbali ya hayo yote nikawa navumilia kwa kuwa mipango yetu ni kuoana loh!
Sasa juzi kati hapa nipo nae usiku wa manane simu yake ikaita nikapokea nikakutana na binti namuuliza anasemaje anasema anamhitaji jamaa nikamuuliza ni nani yako? akasema just a friend na hapo jamaa alikuwa hapo pembeni kawa mdogo ka sisimizi.
Nikamwambia yule binti apige badae kidogo akasema poa.
Baadae nikapiga simu nilichukua namba ya yule dada na namba ya demu mwingine nikaikuta nikachukua wote alikuwa anawasiliana nao bila mimi kujijua wakati tumekaa wote.
Huyu demu wa kwanza akaniambia shosti ngoja nikwambie kitu huyo bwanako ni malaya mbwa sema tu mna mpango wa kuoana otherwise ningekwambia muachane na nakuomba tuonane nikupe list ya wanawake anaodeal nao kimapenzi ujionee miujiza tena shost ujiandae kukutana na ndoa ya matatizo mwanaume wako ni malaya aloshindikana yani dina nilisikia kufa we acha tu. Lakini yeye kama yeye akasema hana mahusiano naye.
Demu wa pili akasema yeye kama yeye ni mpenzi wake tena wana miaka mitatu na aliwah kunisikia siku nyingi akamkanya, na jamaa amekiri huyu demu wa pili kweli alikuwa nae lakini sio sasa, huyo demu kwa sasa anajing'ang'aniza kwa maelezo ya jamaa, na cha ajabu dada dina huyo dada hatambuliki popote hata familia ya jamaa na ndugu wengi wananitambua lakini ndo hivyo kumbe nina mwenzangu lakini ndg wote wamekana hawamjui huyo binti. Na huyo binti aliniomba tuonane na akaniambia yuko tayari hata kuniita akiwa na jamaa nione mwenyewe kwa macho yangu lakini ukweli nimekataa kwenda kwenye appointment walizoniomba nisije kuchomwa kisu mie.
Jamaa kwa kifupi kawakana wote kushiriki mahusiano nao.
Sasa hebu nishauri ndugu yako huyu kweli anastahili kuwa wa maisha? Mbona ananipa jakamoyo la maisha?
Kwa maana nimeshatendwa mpaka nahisi kuchanganyikiwa huyo ni mwanaume wa 4 kila nikikaribia kutambulishana nae nyumbani ukweli unajiweka hadharani mwisho wa siku namwaga manyaga naumia sana mpaka nakuja kusahau.
Hapa nilipo sili karibu mwezi sasa na pia sina furaha muda wote kwa ajili ya mawazo na nimeshindwa kujisahaulisha na japo jamaa anajidai kunipenda lakini nimeshindwa kusahau hao wanawake kichwani kwangu na maneno waliyoniambia, so please naomba mnishauri m stressed najua mmekutana na mengi so naomba tushee haya mapito may be ushauri wenu unaweza kunipa matumaini mapya kuwa nifikie maamuzi yapi.
Doreen.