Yamenikuta mwenzenu!!

Yamenikuta mwenzenu!!

haina tatizo mbona,, km alijua hiyo kitu ni siri asingekuruhusu utoe cm iliyoko kwenye mkoba.. take it easy mkuu mi mwenyewe ninayo kibao nilipewa bure mahali
 
Au alifanya kusudi kukupima joto hasira lako
 
Pigana sana, ukiona hivyo.

Bora kujiunga na wale wanaofanya mazoezi ya alishababu
nikiongea sana ndio napewa likizo karibu mwezi mzima ila kwa sasa ndio nimeeanza mazoezi ya kukimbia.
Nalog off
 
mapenzi jamani!!! unaweza kuta dada wa watu alipitatu mahali akakuta promosheni ya hzo condom wakampa nayeye. lakini issue inakuja kua jamaake atahakiki vp kua ni hivyo? mapenzi kazi sana....
 
Habari Zenu Wana-MMU,..


Mwenzenu leo yamenikuta juu ya huyu mpenzi wangu,..

Baada ya mpenzi wangu kurejea nyumbani kutoka katika pilikapilika za siku akanikuta nimejipumzisha kwenye sofa huku nikifuatilia taarifa ya habari BBC,.

Alipoingia akanisalimia na kisha akabadili nguo na kuingia bafuni kuoga,.

Baada ya dakika chache akiwa bafuni simu yake ikaanza kuita, nikamjulisha na yeye akaniambia niipokee kwa niaba yake na bila hiyana nikafanya hivyo, kumbe alikuwa mfanyakazi mwenzake na nikamwambia apige baada ya dakika kumi.

Wakati naichomoa simu kwenye mkoba wake mara ikadondoka pakti ya kondom ya kike,..


Hofu yangu:

Sijawahi kushiriki tendo na huyu mpenzi wangu tukiwa tunatumia hii mipira ya mapenzi,.

Sasa najiuliza alikuwa akiipeleka wapi??

Nimemuuliza kanijibu alipita mahali wakawa wanaigawa bure kwa hiyo akaamua kuichukua tu,.

Sasa bado najiuliza iweje achukue kitu ambacho hakitumii??

Labda huyu mpenzi wangu ana mtu mwingine na mimi sifahamu!!

Hebu nisaidieni wana-MMU,..

hebu jaribu na wewe kumtegeshea condom ya kiume ndani ya mkoba wako, halafu uweke sehemu ambayo ataiona!

halafu subiri chemical reaction yake!

hapo sasa ndio mtaelezana ukweli mwisho wa siku mtakutana ANGAZA!
 
Habari Zenu Wana-MMU,..


Mwenzenu leo yamenikuta juu ya huyu mpenzi wangu,..

Baada ya mpenzi wangu kurejea nyumbani kutoka katika pilikapilika za siku akanikuta nimejipumzisha kwenye sofa huku nikifuatilia taarifa ya habari BBC,.

Alipoingia akanisalimia na kisha akabadili nguo na kuingia bafuni kuoga,.

Baada ya dakika chache akiwa bafuni simu yake ikaanza kuita, nikamjulisha na yeye akaniambia niipokee kwa niaba yake na bila hiyana nikafanya hivyo, kumbe alikuwa mfanyakazi mwenzake na nikamwambia apige baada ya dakika kumi.

Wakati naichomoa simu kwenye mkoba wake mara ikadondoka pakti ya kondom ya kike,..


Hofu yangu:

Sijawahi kushiriki tendo na huyu mpenzi wangu tukiwa tunatumia hii mipira ya mapenzi,.

Sasa najiuliza alikuwa akiipeleka wapi??

Nimemuuliza kanijibu alipita mahali wakawa wanaigawa bure kwa hiyo akaamua kuichukua tu,.

Sasa bado najiuliza iweje achukue kitu ambacho hakitumii??

Labda huyu mpenzi wangu ana mtu mwingine na mimi sifahamu!!

Hebu nisaidieni wana-MMU,..
yaani we unasubiri hadi condom idondoke ndo ushtuke! mimi swala la kuja na kukimbilia bafuni fasta fasta tu ni questionable! halafu alikuruhu upokee kwakua alijua hatapigiwa na mtu wake kwakua wametoka kumalizana so she is clearing doughts,
Broo kama vile umechelewa vile...! halafu mbona hujatuambia kama ni mazoea yake kukuruhusu upokee simu?Baba ake umeliwa....
halafu beware of days ambazo gf/wife anakua so so mnyenyekevu.
 
Acha umasai banaa. Hizo kwenye workshop wanagawa tu mbona kawaida. Wewe ukienda kucheat unabeba condom kwenye wallet? Mbona mnatufanya maburula sana jamani?
 
Nawashukuru sana wahenga kwa misemo yao na kuyarahisisha maisha wanalonga.... "Ukiona manyoya... Kashaliwa huyo yakhee.."

Ngoja niendelee kuimba song langu Unasema...utaoa lini?Bado nipo nipo kwanza...!
Mwekundu unaoa lini..bado nipo nipo bwana
"Wengine wanasema nifumbe macho nisione wakati nimeshaibiwa,wengine nizibe masikio..."

Hahaha wahenga noma sana!
 
Acha umasai banaa. Hizo kwenye workshop wanagawa tu mbona kawaida. Wewe ukienda kucheat unabeba condom kwenye wallet? Mbona mnatufanya maburula sana jamani?

Kwa hiyo jamaa asiwe na presha kabisa..hasa kama mkewe anafanya kwenye hizi fema sijui marie stopes
 
Back
Top Bottom