kha! mumeo umeshamuonesha na mmeshazijaribu au bado?
Nalog off
Mnaishi nyumba moja na hauli tundi?!
kama hutaki kutukia naye unaweza zijaribisha nami.ndo maana nikasema siku nikikuta wanazipromote ntachukua nikazione live ila kutumia hapana...
mbona tumeshazoea sasa hivi kupewa tunda kwenye kijiko cha chai.
Nalog off
kama hutaki kutukia naye unaweza zijaribisha nami.
Nalog off
nikiongea sana ndio napewa likizo karibu mwezi mzima ila kwa sasa ndio nimeeanza mazoezi ya kukimbia.Pigana sana, ukiona hivyo.
Bora kujiunga na wale wanaofanya mazoezi ya alishababu
usifanye hivyo bana si tujaribisha mara moja tu kwani atajua?hapana washawasha,hapana kwa kwel maisha matam bado sijajiandaa kuondolewa...
usifanye hivyo bana si tujaribisha mara moja tu kwani atajua?
Nalog off
zawadi ni zawadi mpe talaka 3.Huyo anakupenda na anakulinda mwaya, mpe zawadi!
Habari Zenu Wana-MMU,..
Mwenzenu leo yamenikuta juu ya huyu mpenzi wangu,..
Baada ya mpenzi wangu kurejea nyumbani kutoka katika pilikapilika za siku akanikuta nimejipumzisha kwenye sofa huku nikifuatilia taarifa ya habari BBC,.
Alipoingia akanisalimia na kisha akabadili nguo na kuingia bafuni kuoga,.
Baada ya dakika chache akiwa bafuni simu yake ikaanza kuita, nikamjulisha na yeye akaniambia niipokee kwa niaba yake na bila hiyana nikafanya hivyo, kumbe alikuwa mfanyakazi mwenzake na nikamwambia apige baada ya dakika kumi.
Wakati naichomoa simu kwenye mkoba wake mara ikadondoka pakti ya kondom ya kike,..
Hofu yangu:
Sijawahi kushiriki tendo na huyu mpenzi wangu tukiwa tunatumia hii mipira ya mapenzi,.
Sasa najiuliza alikuwa akiipeleka wapi??
Nimemuuliza kanijibu alipita mahali wakawa wanaigawa bure kwa hiyo akaamua kuichukua tu,.
Sasa bado najiuliza iweje achukue kitu ambacho hakitumii??
Labda huyu mpenzi wangu ana mtu mwingine na mimi sifahamu!!
Hebu nisaidieni wana-MMU,..
yaani we unasubiri hadi condom idondoke ndo ushtuke! mimi swala la kuja na kukimbilia bafuni fasta fasta tu ni questionable! halafu alikuruhu upokee kwakua alijua hatapigiwa na mtu wake kwakua wametoka kumalizana so she is clearing doughts,Habari Zenu Wana-MMU,..
Mwenzenu leo yamenikuta juu ya huyu mpenzi wangu,..
Baada ya mpenzi wangu kurejea nyumbani kutoka katika pilikapilika za siku akanikuta nimejipumzisha kwenye sofa huku nikifuatilia taarifa ya habari BBC,.
Alipoingia akanisalimia na kisha akabadili nguo na kuingia bafuni kuoga,.
Baada ya dakika chache akiwa bafuni simu yake ikaanza kuita, nikamjulisha na yeye akaniambia niipokee kwa niaba yake na bila hiyana nikafanya hivyo, kumbe alikuwa mfanyakazi mwenzake na nikamwambia apige baada ya dakika kumi.
Wakati naichomoa simu kwenye mkoba wake mara ikadondoka pakti ya kondom ya kike,..
Hofu yangu:
Sijawahi kushiriki tendo na huyu mpenzi wangu tukiwa tunatumia hii mipira ya mapenzi,.
Sasa najiuliza alikuwa akiipeleka wapi??
Nimemuuliza kanijibu alipita mahali wakawa wanaigawa bure kwa hiyo akaamua kuichukua tu,.
Sasa bado najiuliza iweje achukue kitu ambacho hakitumii??
Labda huyu mpenzi wangu ana mtu mwingine na mimi sifahamu!!
Hebu nisaidieni wana-MMU,..
hahahaaa...... we daviey69 wewe, nani kakuambia talaka ni zawadi?zawadi ni zawadi mpe talaka 3.
Nawashukuru sana wahenga kwa misemo yao na kuyarahisisha maisha wanalonga.... "Ukiona manyoya... Kashaliwa huyo yakhee.."
Ngoja niendelee kuimba song langu Unasema...utaoa lini?Bado nipo nipo kwanza...!
Mwekundu unaoa lini..bado nipo nipo bwana
"Wengine wanasema nifumbe macho nisione wakati nimeshaibiwa,wengine nizibe masikio..."
Acha umasai banaa. Hizo kwenye workshop wanagawa tu mbona kawaida. Wewe ukienda kucheat unabeba condom kwenye wallet? Mbona mnatufanya maburula sana jamani?