Zahra White
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 598
- 576
nini mbaya??ofisini yetu tunapewa every month mimi ninazo munyingi ila situmii.Hamuna ubaya hapo
..Mbona kama mnamzingua mshkaji hivi..r u dr kweli...?!!
mhhh..hivi wewe ni me au ke? Kama ni ke basi huyo ni..... manake kwa wapenzi wa jinsi zote wanapendelea zaidi condo za kiuume.. sasa kama ni dume alafu ana za kike! mmhhhh....sio riziki.... Jipe moyo pole sana
Ah wapi! huyo kaambiwa apokee hiyo simu ili akolezwe tu,huo ni mchongo wa kumpiga jamaa pesa,mwambie mtoa mada asikubali.Itakuwa kweli kapewa angekuwa anakucheat ht cm usingegusa inatakiwa umuamini vitu vidogo tena alivyokuja navyo home haviwez kuwa sbb ya kumfikiria vby.
mbona tumeshazoea sasa hivi kupewa tunda kwenye kijiko cha chai.Mnaishi nyumba moja na hauli tundi?!
mbona amejielez vizuri kabisa me nimemuelewa
me nna kama wiki mbili hivi nilipita sehemu wakawa wanagawa nikachukua nimeweka ndani but huwa situmii kabisa haya madude, kilichonifanya nichukue nilioongoza nao walichukua na me nikaiga tu
so nakushauri usimfikirie tofauti
usimlainishe mshikaji ukweli ni kwamba huyu mwanamke wake alimegwa kisela nje ndio kajisahau na kwenda nayo mpaka kijengoni,ila kama jamaa ni mume ----- basi anaweza kuendelea naye.mbona amejielez vizuri kabisa me nimemuelewa
me nna kama wiki mbili hivi nilipita sehemu wakawa wanagawa nikachukua nimeweka ndani but huwa situmii kabisa haya madude, kilichonifanya nichukue nilioongoza nao walichukua na me nikaiga tu
so nakushauri usimfikirie tofauti
kha! mumeo umeshamuonesha na mmeshazijaribu au bado?mimi mwenyew siku nikikuta wanagawa nitachukua ili tu nizifaham hizo condom za kike manake nazionaga tu kwenye picha!
mmhh! Ukiona manyoya-!