daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
chochote kile mtu anatunukiwa kutokana na alichofanya ni zawadi kwakua she/he deserve it.hahahaaa...... we daviey69 wewe, nani kakuambia talaka ni zawadi?
chochote kile mtu anatunukiwa kutokana na alichofanya ni zawadi kwakua she/he deserve it.hahahaaa...... we daviey69 wewe, nani kakuambia talaka ni zawadi?
Ingekuwa condom ya kiume tungesema ukiona manyoya kaliwa huyo!Lakini kwa kuwa ni ya kike inawezekana kabisa kwa asilimia kama 90 anayosema ni ukweli kwa sababu asilimia kubwa ya wanaume huwa hatubebi condom za kike tunabeba za kiume,anayebisha aje hapa aseme na yeye atakuwa miongoni mwa hizo asilimia chache zilizobaki!
Mpende mumeo,mtimizimie kila kitu kumpunguzia tamaa za kutoka nje!