chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Habari Zenu Wana-MMU,..
Mwenzenu leo yamenikuta juu ya huyu mpenzi wangu,..
Baada ya mpenzi wangu kurejea nyumbani kutoka katika pilikapilika za siku akanikuta nimejipumzisha kwenye sofa huku nikifuatilia taarifa ya habari BBC,.
Alipoingia akanisalimia na kisha akabadili nguo na kuingia bafuni kuoga,.
Baada ya dakika chache akiwa bafuni simu yake ikaanza kuita, nikamjulisha na yeye akaniambia niipokee kwa niaba yake na bila hiyana nikafanya hivyo, kumbe alikuwa mfanyakazi mwenzake na nikamwambia apige baada ya dakika kumi.
Wakati naichomoa simu kwenye mkoba wake mara ikadondoka pakti ya kondom ya kike,..
Hofu yangu:
Sijawahi kushiriki tendo na huyu mpenzi wangu tukiwa tunatumia hii mipira ya mapenzi,.
Sasa najiuliza alikuwa akiipeleka wapi??
Nimemuuliza kanijibu alipita mahali wakawa wanaigawa bure kwa hiyo akaamua kuichukua tu,.
Sasa bado najiuliza iweje achukue kitu ambacho hakitumii??
Labda huyu mpenzi wangu ana mtu mwingine na mimi sifahamu!!
Hebu nisaidieni wana-MMU,..
Mwenzenu leo yamenikuta juu ya huyu mpenzi wangu,..
Baada ya mpenzi wangu kurejea nyumbani kutoka katika pilikapilika za siku akanikuta nimejipumzisha kwenye sofa huku nikifuatilia taarifa ya habari BBC,.
Alipoingia akanisalimia na kisha akabadili nguo na kuingia bafuni kuoga,.
Baada ya dakika chache akiwa bafuni simu yake ikaanza kuita, nikamjulisha na yeye akaniambia niipokee kwa niaba yake na bila hiyana nikafanya hivyo, kumbe alikuwa mfanyakazi mwenzake na nikamwambia apige baada ya dakika kumi.
Wakati naichomoa simu kwenye mkoba wake mara ikadondoka pakti ya kondom ya kike,..
Hofu yangu:
Sijawahi kushiriki tendo na huyu mpenzi wangu tukiwa tunatumia hii mipira ya mapenzi,.
Sasa najiuliza alikuwa akiipeleka wapi??
Nimemuuliza kanijibu alipita mahali wakawa wanaigawa bure kwa hiyo akaamua kuichukua tu,.
Sasa bado najiuliza iweje achukue kitu ambacho hakitumii??
Labda huyu mpenzi wangu ana mtu mwingine na mimi sifahamu!!
Hebu nisaidieni wana-MMU,..