Yamenikuta! Msaada Tafadhali...

Ulipata wapi tiba mkuu! Maana na mm Nako elekea sipajua maana huyu mwanamke amesema nitajijua mwenyewe
 
Angalia sana humu jukwaani. Tena kua makini.
Usishangae waungwana wakakushauri uende kuweka uwemba rehani kutengua hicho kifungo.
Baadae unaanza kusimamisha lakini tayari unakuta Pioneer imelala yoo.
Kwa uelewa zaidi, pioneer ni hii hapa
 
Huu ni uongo

Ila najua kuwa usiruhusu mwanamke aindoke au aukufute na kitambaa chake na kuondoka na kutambaa iko wakuu wanaroga ili umuoe
 
Hapana mkuu mwenye uelewa wa hii kitu aokoe jahazi aisee!! Hela Sina na kula mizigo nisile kweli?
 
Sio uongo mkuu! Ni kweli kabisa
 
Ulipata wapi tiba mkuu! Maana na mm Nako elekea sipajua maana huyu mwanamke amesema nitajijua mwenyewe
Mwambie aje upige show aje na kitambaa mjifutie tena ataondoka nacho ili kuimarisha lengo lako la kutomsaliti.. akija sasa na kitambaa fanya kila liwezekanalo asiondoke nacho
 
Mwambie aje upige show aje na kitambaa mjifutie tena ataondoka nacho ili kuimarisha lengo lako la kutomsaliti.. akija sasa na kitambaa fanya kila liwezekanalo asiondoke nacho
Nilikuwa sijaona mengi kumbeπŸ˜€
 
Mwambie aje upige show aje na kitambaa mjifutie tena ataondoka nacho ili kuimarisha lengo lako la kutomsaliti.. akija sasa na kitambaa fanya kila liwezekanalo asiondoke nacho
Shukrani mkuu.
 
Umejaribu kupiga nyeto...
 
Kwanza unachotuambia kuwa eti akiweka kitambaa alichokufutia chini ya mtungi bila kuchanganya na dawa zingine huo ni UONGO..
Wewe umempa mbegu zako na maelekezo kaenda kupewa ujuzi mbele ya Safari lakini sio huo uliompa wewe kutaka kujaribu..

Siku nyingine acha upuuzi na mwanamke.
Tafuta penye Alovera ichanje shinani ikianza toa maji nawe pakojolee hapo shinani pa Alovera panapotoa maji.
 
Shukrani mkuu
 
Hili nikweli kabisa mie kuna kademu kalifuta shahawa zangu na kyupi yake na kusepa nayo aisee nimepata tabu...sasa imagine na kibamia nacho hakisimami
 
Hili nikweli kabisa mie kuna kademu kalifuta shahawa zangu na kyupi yake na kusepa nayo aisee nimepata tabu...sasa imagine na kibamia nacho hakisimami
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uchawiii Unafanyiwaa huku unaangalia na wew unacheka tu???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…